Kikosi cha Simba Kinachosafari Kwenda Misri Mchezo Dhidi ya Al Masry: Simba SC imetangaza kikosi chake kitakachosafiri kuelekea Misri kwa ajili ya mechi yake muhimu dhidi ya Al Masry SC Aprili 2, 2025. Mechi hii ni sehemu ya kampeni za timu hiyo katika michuano ya kimataifa, ambapo Simba SC inatarajia kupata matokeo mazuri ugenini.
Kikosi cha Simba Kinachosafari Kwenda Misri Mchezo Dhidi ya Al Masry
Kikosi Kitakachosafiri

Makipa (Goalkeepers)
-
Moussa Camara
-
Ally Salim
-
Hussein Abel
Mabeki (Defenders)
-
Karaboue Chamdou
-
Abourazak Hamza
-
Mohamed Hussein
-
Shomari Kapombe
-
Valentine Nouma
-
David Kameta
-
Kelvin Kijili
Viungo (Midfielders)
-
Yusuph Kagoma
-
Fabrice Ngoma
-
Elie Mpanzu
-
Debora Fernandes
-
Ladack Chasambi
-
Kibu Denis
-
Awesu Awesu
-
Jean Charles Ahoua
-
Augustine Okejpha
-
Joshua Mutale
Washambuliaji (Strikers)
-
Leonel Ateba
-
Steven Mukwala
Timu hii ina mchanganyiko wa wachezaji wazoefu na chipukizi, jambo linalodhihirisha kuwa Simba SC inaelekea kwenye mechi hii ikiwa na mipango madhubuti ya kushinda. Mashabiki wa Simba SC wanatarajia kuiona timu yao ikifanya vyema na kurejea nyumbani na matokeo ya nguvu.
CHECK ALSO:








Weka maoni yako