Ratiba ya Nusu Fainali ya Klabu Bingwa Afrika CAF 2024/2025

Ratiba ya Nusu Fainali ya Klabu Bingwa Afrika CAF 2024/2025: Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetangaza ratiba rasmi ya mechi za nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2024/25. Timu nne zimefuzu kwa hatua hii muhimu ya shindano hilo na zitashiriki katika raundi mbili kuanzia Aprili 19 hadi 25, 2025.

Timu zitakazoshinda kwa jumla ya mechi zote mbili zitafuzu kwa fainali ya Ligi ya Klabu Bingwa Afrika ya CAF 2024/25. Mashabiki wanahimizwa kufuatilia mechi hizi kwa karibu, kwani zinatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kati ya wachezaji wenye majina makubwa katika soka la Afrika.

Ratiba ya Nusu Fainali ya Klabu Bingwa Afrika CAF 2024/2025

NUSU FAINALI – 1

Mamelodi Sundowns πŸ‡ΏπŸ‡¦ vs Al Ahly πŸ‡ͺπŸ‡¬
Mechi ya Kwanza:
πŸ“… Aprili 19, 2025
πŸ“ Pretoria, Afrika Kusini
πŸ•“ Saa 10:00 jioni (16:00)

Mechi ya Marudiano:
πŸ“… Aprili 25, 2025
πŸ“ Cairo, Misri
πŸ•— Saa 2:00 usiku (20:00)

Ratiba ya Nusu Fainali ya Klabu Bingwa Afrika CAF 2024/2025
Ratiba ya Nusu Fainali ya Klabu Bingwa Afrika CAF 2024/2025

NUSU FAINALI – 2

Orlando Pirates πŸ‡ΏπŸ‡¦ vs Pyramids FC πŸ‡ͺπŸ‡¬
Mechi ya Kwanza:
πŸ“… Aprili 19, 2025
πŸ“ Uwanja wa FNB, Afrika Kusini
πŸ•– Saa 1:00 usiku (19:00)

Mechi ya Marudiano:
πŸ“… Aprili 25, 2025
πŸ“ Cairo, Misri
πŸ•™ Saa 4:00 usiku (22:00)

CHECK ALSO: