Ratiba ya CAF Mechi za AFCON U-20 Egypt 2025

Ratiba ya CAF Mechi za AFCON U-20 Egypt 2025 | CAF yatangaza ratiba rasmi ya Fainali za Mataifa ya Afrika za U-20 2025 nchini Misri.

SHIRIKISHO la Soka barani Afrika (CAF) limetoa ratiba kamili ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Vijana U-20 (AFCON) 2025 nchini Misri. Michuano hiyo itaanza rasmi Aprili 27 na kuhitimishwa Mei 18, 2025.

Ratiba inajumuisha timu zilizogawanywa katika vikundi vitatu: Kundi A, B, na C, na kila kundi likiwa na timu nne. Jumla ya mechi 30 zimepangwa kuchezwa, ikijumuisha mechi za makundi, robo fainali, nusu fainali, mchujo wa kuwania nafasi ya tatu na fainali.

Ratiba ya CAF Mechi za AFCON U-20 Egypt 2025

Ratiba ya CAF Mechi za AFCON U-20 Egypt 2025
Ratiba ya CAF Mechi za AFCON U-20 Egypt 2025

Makundi AFCON U-20

Kundi A

  • South Africa
  • Zambia
  • Tanzania
  • Sierra Leone
  • Egypt

Kundi B

  • Nigeria
  • Tunisia
  • Morocco
  • Kenya

Kundi C

  • Senegal
  • Ghana
  • Central African Republic (CAR)
  • DR Congo

Mechi za Makundi

  • Kuanza: Aprili 27, 2025
  • Kumalizika: Mei 9, 2025
  • Mechi zitachezwa saa 18:00 na 21:00 kwa saa za eneo husika (local time).

Robo Fainali

  • Tarehe: Mei 12, 2025
  • Mechi 4 zitaamua timu zitakazofuzu kwenda nusu fainali.

Nusu Fainali

  • Tarehe: Mei 15, 2025
  • Timu 4 bora zitachuana kuwania tiketi ya fainali.

Mechi ya Mshindi wa Tatu

  • Tarehe: Mei 18, 2025 saa 18:00

Fainali

  • Tarehe: Mei 18, 2025 saa 21:00

Timu zitakazoshika nafasi ya kwanza na ya pili katika kila kundi, pamoja na timu mbili zilizoshika nafasi ya tatu bora kutoka makundi yote, zitafuzu hatua ya mtoano. Hii ni pamoja na robo fainali, nusu fainali na hatimaye fainali/Ratiba ya CAF Mechi za AFCON U-20 Egypt 2025.

CHECK ALSO: