Matokeo ya JKU vs Azam Leo 28/04/2025 Muungano Cup | JKU wanacheza na Azam FC Nusu Fainali ya Kombe la Muungano 2025 leo.
Mchezo huo wa kusisimua kati ya JKU na Azam FC utapigwa Aprili 28, 2025, kwenye Uwanja wa Gombani, Pemba, kuanzia saa 1:15 Usiku. Mechi hiyo ilikuwa nusu fainali ya Kombe la Muungano.
JKU ya visiwani Zanzibar ilimenyana vikali na Azam FC kutoka Tanzania Bara katika mechi iliyovuta mashabiki wengi walioujaza Uwanja wa Gombani. Michuano hii ilikuwa muhimu kwa kila timu, ikilenga kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Muungano, inayosherehekea mshikamano kati ya pande mbili za Muungano wa Tanzania.
Matokeo ya JKU vs Azam Leo 28/04/2025 Muungano Cup
FTÂ |Â JKUÂ Â Â 2-1Â Â Â AZAM
- FT: JKU SC 2-1 Azam FC
- 90’+9 JKU SC 2-1 Azam FC
- 80′ Fredy Seleman Goal
- 50′ Neva Adelin Goal
- 15′ Yeison Fuentes Goal

Matokeo ya mechi hii yana uwezekano mkubwa wa kuamua ni timu gani itaingia fainali na kuwania taji la mwaka huu.
CHECK ALSO:
Weka maoni yako