Yanga SC vs Simba SC, Derby Kuamua Bingwa wa Ligi Kuu Tanzania 2024/25

Yanga SC vs Simba SC, Derby Kuamua Bingwa wa Ligi Kuu Tanzania 2024/25 | Ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2024/2025 utaamuliwa katika mechi ya mwisho ya msimu huu, Kariakoo derby, kati ya vigogo wa soka nchini, Yanga SC na Simba SC. Pambano hili la kihistoria litachezwa Jumatano, Juni 25, 2025, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.

Yanga SC vs Simba SC, Derby Kuamua Bingwa wa Ligi Kuu Tanzania 2024/25

Jedwali baada ya Siku ya Mechi 30:

  1. Yanga SC inaongoza msimamo ikiwa na pointi 79 baada ya mechi 29.
  2. Simba SC ipo nafasi ya pili ikiwa na pointi 78, pia baada ya mechi 29.

Kulingana na matokeo haya, mechi ya mwisho kati ya timu hizi mbili itaamua bingwa wa msimu huu. Yanga SC inahitaji sare au ushindi ili kutwaa ubingwa, wakati Simba SC lazima ishinde mechi ili kuwapita kwa pointi na kutwaa ubingwa.

Yanga SC vs Simba SC, Derby Kuamua Bingwa wa Ligi Kuu Tanzania 2024/25
Yanga SC vs Simba SC, Derby Kuamua Bingwa wa Ligi Kuu Tanzania 2024/25

Matokeo ya Timu zote Raundi ya 30:

  • FT: Yanga SC 5-0 Dodoma Jiji FC
    Mabao:
    ⚽ 03’ – Clatous Chama
    âš½ 52’ – Stephane Aziz Ki “Duke”
    ⚽ 62’ – Stephane Bacca
    ⚽ 90+2’ – Kennedy Onyango
    ⚽ 90+5’ – Maxi Nzengeli

  • FT: Simba SC 1-0 Kagera Sugar
    Bao pekee la mchezo:
    ⚽ 17’ – Steven Mukwala

Kwa msimu wa 2024/25, ushindani kati ya Simba na Yanga umefikia kilele. Ligi hiyo imekuwa na ushindani mkali, na sasa mashabiki wote wanaitazama Kariakoo derby Juni 25 kuamua nani atawazwa bingwa.

CHECK ALSO:

  1. Kagera Sugar na KenGold Wasuka Daraja, Playoff ni Fountain Gate na Tanzania Prisons
  2. Yanga SC vs Dodoma Jiji Leo Saa Ngapi 22/06/2025
  3. KIKOSI Cha Yanga SC Leo vs Dodoma Jiji 22/06/2025
  4. Matokeo ya Yanga SC Leo vs Dodoma Jiji 22/06/2025