CV ya Neo Maema Mchezaji Mpya wa Simba SC 2025/2026

CV ya Neo Maema Mchezaji Mpya wa Simba SC 2025/2026: Neo Maema Ajiunga na Simba SC kwa Mkopo Kutoka Mamelodi Sundowns | Simba Kulipa 75% ya Mshahara.

Simba SC imekamilisha rasmi usajili wa kiungo mshambuliaji Neo Maema, kwa mkopo wa msimu mzima kutoka kwa wababe wa Afrika Kusini, Mamelodi Sundowns. Pande zote mbili zimefikia makubaliano, na mkataba umekamilika na kusainiwa.

Kinyume na taarifa za awali zilizoonyesha kuwa Simba SC isingekuwa na mzigo mkubwa wa kifedha, taarifa sahihi zinaeleza kuwa Simba italipa asilimia 75 ya mshahara wa Neo Maema katika kipindi cha mkopo.

CV ya Neo Maema Mchezaji Mpya wa Simba SC 2025/2026

CV ya Neo Maema Mchezaji Mpya wa Simba SC 2025/2026
CV ya Neo Maema Mchezaji Mpya wa Simba SC 2025/2026
Personal information
Date of birth 1 December 1995 (age 29)
Place of birth Bloemfontein, South Africa
Position(s) Attacking midfielder
Team information
Current team
Simba SC
Number 12
Senior career*
Years Team Apps (Gls)
2018–2021 Bloemfontein Celtic 60 (3)
2021–2025 Mamelodi Sundowns 64 (9)

Usajili huu ni sehemu ya juhudi za Simba SC kuimarisha safu yake ya kiungo na kuongeza ubunifu uwanjani kuelekea michuano ya ndani na nje ya nchi ikiwemo Ligi ya Mabingwa Afrika.

Mchezaji mwenye uwezo wa kutengeneza nafasi, kasi, na pasi za mwisho, Neo Maema anatarajiwa kutoa uchezaji mzuri kwa timu ya kocha Fadlu Davids msimu ujao.

CHECK ALSO:

  1. Jonathan Sowah Ajiunga na Simba SC Kutoka Singida Black Stars
  2. Abdulhamid Moalin Aondoka Yanga SC, Ajiunga na CR Belouizdad ya Algeria
  3. Taifa Stars Yatoka Nyuma na Kuichapa Senegal 2-1, CECAFA Mataifa Matatu 2025
  4. Jezi Mpya za Simba SC 2025/2026