Mashujaa FC Wameachana na Wachezaji 10 Kuelekea Ligi Kuu Bara 2025/2026

Mashujaa FC Wameachana na Wachezaji 10 Kuelekea Ligi Kuu Bara 2025/2026: Mashujaa FC Yatangaza Kuachiliwa kwa Wachezaji Kumi Wakati Ikijiandaa na Msimu Mpya wa Ligi Kuu.

Klabu ya Mashujaa FC inayosifika kwa kasi na nguvu uwanjani, imetangaza rasmi kuwaachia jumla ya wachezaji kumi katika kipindi hiki cha usajili wa msimu wa 2025/2026 wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

Kwa mujibu wa taarifa ya klabu, baadhi ya wachezaji wameachiwa na makocha, wengine wamerejea kwenye klabu zao baada ya kumalizika kwa mikataba yao ya mkopo, huku wengine wakisajiliwa na timu nyingine za kitaifa na kimataifa.

Mashujaa FC Wameachana na Wachezaji 10 Kuelekea Ligi Kuu Bara 2025/2026

Mashujaa FC Wameachana na Wachezaji 10 Kuelekea Ligi Kuu Bara 2025/2026
Mashujaa FC Wameachana na Wachezaji 10 Kuelekea Ligi Kuu Bara 2025/2026

Orodha ya Wachezaji Walioachwa na Mashujaa FC:

  1. Zuberi Dabi

  2. Omari Kindamba

  3. Abrahman Mussa

  4. Ally Nassor Ufudu

  5. Mohamed Mussa

  6. Ibrahim Ame

  7. Yahya Mbegu

  8. Emmanuel Martin

  9. Ibrahim Nindi

  10. Jeremanus Josephat

Kutolewa kwa wachezaji hao 10 kunaonyesha maandalizi ya dhati ya Mashujaa FC kwa msimu ujao. Klabu hiyo inaonekana imedhamiria kujenga kikosi chenye ushindani zaidi ili kufikia malengo yake katika mashindano ya ndani.

Mashabiki wanapaswa kuwa macho kwa taarifa rasmi kutoka kwa bodi ya klabu kuhusu usajili mpya na maandalizi ya msimu wa 2025/2026.

CHECK ALSO:

  1. Simba SC Yasaini Mkataba wa Udhamini na Betway wa Bilioni 20 kwa Miaka Mitatu
  2. Marcio Maximo Atangazwa Kocha Mpya wa KMC FC 2025
  3. Mohammed Bajaber Asaini Mkataba wa Miaka Miwili na Simba SC
  4. Maxi Nzengeli Asaini Mkataba Mpya Yanga SC Hadi 2027