Simba Day 2025 Ni Simba SC Vs Gor Mahia ya Kenya Septemba 10 | Simba Sports Club imethibitisha kuwa Simba Day 2025 itafanyika Septemba 10, 2025, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Tukio hili ambalo ni sehemu ya utamaduni wa kila mwaka wa klabu hiyo, limekuwa kivutio kikubwa kwa mashabiki wa Tanzania na nje ya nchi.
Katika kilele cha tamasha hilo, Simba SC itamenyana na Gor Mahia FC ya Kenya katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa. Hii inaendeleza utamaduni wa klabu kualika timu kutoka nchi nyingine kushiriki katika siku hii muhimu.
Simba Day 2025 Ni Simba SC Vs Gor Mahia ya Kenya Septemba 10
Uwasilishaji wa wachezaji wapya waliosajiliwa kabla ya msimu mpya.
Mchezo wa kirafiki wa kimataifa unaowakutanisha Simba na timu waalikwa.

Kwa miaka mingi, tamasha hili limekuwa chachu ya kuimarisha uhusiano kati ya mashabiki na klabu, na pia kutumika kama jukwaa la kuonyesha nguvu ya Simba kabla ya msimu mpya wa ushindani.
SOMA PIA:







Weka maoni yako