Kikosi cha Yanga Vs Pamba Jiji Leo 24/09/2025, Ratiba, Saa na Nafasi za Ligi Kuu. Young Africans SC (Yanga SC) itamenyana na Pamba SC Septemba 24, 2025, saa 1:00 Usiku. Mchezo huo ni sehemu ya Ligi Kuu Tanzania Bara na unatarajiwa kuwa na mchuano mkali kutokana na nafasi za timu hizo mbili kwenye msimamo.
Yanga SC kwa sasa inashika nafasi ya 13, ikijitahidi kuimarika baada ya kuanza vibaya msimu huu. Pamba SC, kwa upande wake, inashika nafasi ya 8, ikiwa na matokeo ya wastani, lakini bado inahitaji ushindi ili kusonga mbele.
Mchezo kati ya Yanga SC na Pamba SC utakuwa wa kusisimua kutokana na umuhimu wake kwa timu zote mbili. Mashabiki wanatarajia mechi ya karibu, huku Yanga wakipania kufufua matumaini yao ya kusonga mbele hadi nafasi za juu na Pamba wakipambana kujiimarisha katika safu ya kiungo.
Kikosi cha Yanga Vs Pamba Jiji Leo 24/09/2025

Kikosi kinachoaanza leo dhidi ya Pamba Jiji
- DIARRA
- ZIMBWE JR
- MWENDA
- BACCA
- JOB
- CONTE
- ANDABWILE
- PACOME
- MZIZE
- DUBE
- ACUA
CHECK ALSO:
Weka maoni yako