Ratiba ya CRDB Bank Federation Cup 2025/2026

Ratiba ya CRDB Bank Federation Cup 2025/2026: Michuano ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (FA) ambayo pia inajulikana kama Kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB, ni mashindano makubwa ya mtoano katika soka la Tanzania. Vilabu vya ligi mbalimbali vinashiriki ikiwemo Ligi Kuu Tanzania Bara, Ligi Daraja la Kwanza, Daraja la Pili na timu za Visiwani Zanzibar.

Kusudi kuu la mashindano ni kuamua bingwa wa kitaifa kupitia mfumo wa mtoano, na timu itafuzu moja kwa moja kwa raundi inayofuata baada ya ushindi. Mashindano hayo pia yanatoa fursa kwa klabu inayoshinda kushiriki Kombe la Shirikisho la CAF, na kuongeza heshima na umuhimu wake katika mazingira ya soka ya Afrika/Ratiba ya CRDB Bank Federation Cup 2025/2026.

Ratiba ya CRDB Bank Federation Cup 2025/2026

Bado ratiba rasmi ya mashindano ya Kombe la Shirikisho la CRDB kwa msimu mpya wa 2025/26 hayajatolewa. Kwa mujibu wa kalenda ya TFF inaonyesha mashindano ya CRDB Federation Cup yataaza rasmi desemba 5, 2025 na fainali kuchezwa 27 mei 2026

Hatua ya 64 Bora

6-7 December 2025

Hatua ya 32 Bora

13-15 March 2026

Hatua ya 16 Bora

28-30 April 2026

Robo fainali

9-11 May 2026

Nusu fainali

16-17 May 2026

Ratiba ya CRDB Bank Federation Cup 2025/2026
Ratiba ya CRDB Bank Federation Cup 2025/2026

Fainali

27 May 2026

Washindi wa Kombe La Shirikisho Tanzania la CRDB kwa miaka ya hivi karibuni

2020–21: Simba SC
2021–22: Young Africans FC (Dar es Salaam) 3-3 (aet, 4–1 pens) Coastal Union F.C. (Tanga)
2022–23: Young Africans FC (Dar es Salaam) 1-0 Azam F.C. (Dar es Salaam)
2023–24: Young Africans FC (Dar es Salaam) 0-0 (aet, 6–5 pens) Azam F.C. (Dar es Salaam)
2024–25: Young Africans (Dar es Salaam) 2–0 Singida Black stars (Singida)

CHECK ALSO:

  1. Timu Bora CAF Clubs Ranking of African 2025/2026
  2. Wafungaji Bora NBC 2025/26 Vinara wa Magoli Ligi Kuu
  3. Orodha ya Wafungaji Bora NBC Ligi Kuu Tanzania 2025/2026
  4. Top Assist NBC Ligi Kuu Tanzania 2025/26