Matokeo ya darasa la saba 2025/2026 Results today time

Matokeo ya darasa la saba 2025/2026 Results today time, Matokeo ya NECTA Darasa La Saba 2025/2026, Matokeo ya Darasa la Saba 2025 NECTA | PSLE Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Profesa Said A. Mohamed, ametangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) mwaka 2025 katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na NECTA, jumla ya watahiniwa 1,146,164 walifanya mtihani huo nchini kote, ambapo watahiniwa 937,581 sawa na asilimia 81.80 wamefaulu na kupata sifa ya kujiunga na elimu ya sekondari kidato cha kwanza mwaka 2026.

Matokeo ya darasa la saba 2025/2026 Results today time

ARUSHA

DAR ES SALAAM

DODOMA

IRINGA

KAGERA

KIGOMA

KILIMANJARO

LINDI

MARA

MBEYA

MOROGORO

MTWARA

MWANZA

PWANI

RUKWA

RUVUMA

SHINYANGA

SINGIDA

TABORA

TANGA

MANYARA

GEITA

KATAVI

NJOMBE

SIMIYU

SONGWE

CHECK ALSO:

  1. Matokeo ya NECTA Darasa La Saba 2025/2026
  2. Matokeo ya Darasa la Saba na Shule Walizopangiwa 2025/2026
  3. Shule Walizopangiwa Darasa la Saba 2025/2026
  4. Shule walizopangiwa darasa la saba 2025 TAMISEMI