CV ya Steve Barker Kocha Mpya wa Simba

CV ya Steve Barker Kocha Mpya wa Simba | Klabu ya Simba SC imetangaza rasmi kumteua kocha raia wa Afrika Kusini, Steve Barker, kuwa kocha mkuu mpya wa timu hiyo. Uamuzi huo unakuja baada ya uongozi wa klabu kuamua kuachana na aliyekuwa kocha mkuu, Dimitar Pantev, kufuatia tathmini ya mwenendo na malengo ya timu kwa msimu ujao.

Taarifa ya uteuzi wa Barker imeashiria mwanzo wa ukurasa mpya kwa klabu hiyo yenye makao yake Dar es Salaam, huku Simba SC ikielekeza nguvu mpya katika maandalizi ya mashindano ya ndani na ya kimataifa.

Steve Barker na Uzoefu Wake wa Soka Afrika

Steve Barker ni kocha mwenye uzoefu mkubwa katika soka la Afrika, hususan Afrika Kusini. Amewahi kuzifundisha klabu mbalimbali na kujijengea sifa ya kuwa kocha anayependa nidhamu, mbinu za kisasa, na maendeleo ya wachezaji kwa ujumla. Uongozi wa Simba SC unaamini kuwa uzoefu wake utasaidia kuimarisha kikosi na kuongeza ushindani katika mashindano mbalimbali.

CV ya Steve Barker Kocha Mpya wa Simba

CV ya Steve Barker Kocha Mpya wa Simba
CV ya Steve Barker Kocha Mpya wa Simba
Name in Home Country /
Full Name:
Steven Robert Barker
Date of birth/Age: 23/12/1967 (57)
Place of Birth: Maseru  Lesotho
Citizenship: South Africa  South Africa
Contract until 30/06/2026
Avg. term as coach: 4.27 Years
Preferred formation: 4-3-3 Attacking

Vilabu alivyopita

Stellenbosch FC Manager 17/18 (01/07/2017) mpaka 12/12/2025
Alexandra Black Aces Manager | 16/17 (07/09/2016) mpaka 16/17 (30/06/2017)
AmaZulu FC Manager | 14/15 (23/11/2014) mpaka 15/16 (18/04/2016)
University of Pretoria FC Manager | 08/09 (01/07/2008) mpaka 14/15 (22/11/2014)

CHECK ALSO:

  1. Simba Wamteua Steve Barker Kuwa Kocha Mkuu Mpya
  2. Simba vs Yanga Kucheza Mechi ya Kirafiki Desemba 21
  3. Zawadi za Kombe la Mapinduzi 2026
  4. Timu Zitakazoshiriki Mapinduzi Cup 2026