Msimamo Ligi ya Wanawake Tanzania 2024/25

Msimamo Ligi ya Wanawake Tanzania 2024/25 | Msimamo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara 2024/2025 baada ya Mechi 12

Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara msimu wa 2024/2025 imeendelea kwa ushindani mkubwa baada ya Mechi 12. Timu kadhaa zimeonyesha uwezo mkubwa na baadhi kuibuka kuwania ubingwa.

Katika msimamo wa ligi baada ya Mechi 12, Simba Queens inaongoza kwa pointi 34, ikifuatiwa na JKT Queens yenye pointi 29. Nafasi ya tatu inashikwa na Yanga Princess, wenye pointi 24 baada ya mechi 12.

Wakati huo huo, Mlandizi Queens wanashika nafasi ya mwisho wakiwa na pointi 1, baada ya kutoka sare mechi moja na kupoteza 11. Timu ya Gets Program nayo ipo katika hali mbaya, ikiwa na pointi 5 pekee.

Msimamo Ligi ya Wanawake Tanzania 2024/25

TeamsPWDLGFGAGDPTS
JKT QUEENS1311205184335
SIMBA QUEENS1311114383534
YANGA PRINCESS138322718927
MASHUJAA QUEENS146353025521
CEASIAA QUEENS125162626016
ALLIANCE GIRLS144372528-315
FOUNTAIN GATE PRINCESS124352315-815
BUNDA QUEENS112361120-99
GETS PROGRAM132193627-97
MLANDIZI QUEENS130112668-621

Muhtasari wa Takwimu Muhimu:

Msimamo Ligi ya Wanawake Tanzania 2024/25
Msimamo Ligi ya Wanawake Tanzania 2024/25
  • Mechi zilizochezwa hadi sasa: 57
  • Ushindi: 46
  • Sare: 22
  • Mabao yaliyofungwa (GF): 206
  • Mabao yaliyofungwa (GA): 206
  • Jumla ya alama: 160

Ligi inaendelea kuwa na ushindani mkubwa, huku Simba Queens ikiendelea kujikita kileleni kwa rekodi ya ushindi wa michezo 11 kati ya 12/Msimamo Ligi ya Wanawake Tanzania 2024/25.

CHECK ALSO: