Msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar PBZ 2024-2025

Msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar PBZ 2024-2025 | Huu Hapa Msimamo wa Ligi Kuu ya Zanzibar (PBZ Premier League) 2024/2025

Ligi kuu ya Zanzibar (PBZ Premier League) msimu wa 2024/2025 inaendelea kushika kasi huku timu zikipambana kuwania nafasi za juu kwenye msimamo. Baada ya mechi 19 au 20 kwa baadhi ya timu, Mlandege FC, KVZ FC na Mafunzo FC zinaendelea kuonyesha ushindani mkali, lakini M/Makumbi City imekamata nafasi ya kwanza kwa kujikusanyia pointi 41.

Katika mpambano huo wa kushuka daraja timu za Mwenge SC, New City FC, Inter Zanzibar na Tekeleza FC zinakabiliwa na hali ngumu kutokana na matokeo mabaya, na Tekeleza FC ina pointi 3 pekee baada ya michezo 19.

Msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar PBZ 2024-2025

Huu hapa ndio msimamo kamili wa ligi hadi sasa:

# TEAM P W D L GF GA GD PTS
1 M/MAKUMBI CITY 21 13 5 3 32 15 17 44
2 MLANDEGE FC 21 10 8 3 36 15 21 38
3 MAFUNZO FC 21 11 5 5 31 15 16 38
4 KVZ FC 21 9 10 2 17 8 9 37
5 JKU SC 21 9 9 3 39 17 22 36
6 ZIMAMOTO SC 21 10 5 6 31 22 9 35
7 UHAMIAJI FC 21 8 9 4 22 17 5 33
8 MALINDI SC 21 8 8 5 21 15 6 32
9 KMKM SC 21 8 7 6 24 18 6 31
10 KIPANGA FC 21 7 8 6 21 17 4 29
11 CHIPUKIZI UNITED 21 6 10 5 17 16 1 28
12 JUNGUNI UNITED 21 6 8 7 18 21 -3 26
13 MWENGE SC 21 6 3 12 17 40 -23 21
14 NEW CITY FC 21 4 4 13 15 26 -11 16
15 INTER ZANZIBAR 21 2 2 18 14 56 -42 5
16 TEKELEZA FC 21 0 3 18 5 42 -37 3
Msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar PBZ 2024-2025
Msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar PBZ 2024-2025

CHECK ALSO: