MSIMAMO wa Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) 2024/2025

MSIMAMO wa Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) 2024/2025 | Msimamo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara 2024/2025 baada ya Mechi 12

Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara msimu wa 2024/2025 imeendelea kwa ushindani mkubwa baada ya Mechi 12. Timu kadhaa zimeonyesha uwezo mkubwa na baadhi kuibuka kuwania ubingwa.

Katika msimamo wa ligi baada ya Mechi 12, Simba Queens inaongoza kwa pointi 34, ikifuatiwa na JKT Queens yenye pointi 29. Nafasi ya tatu inashikwa na Yanga Princess, wenye pointi 24 baada ya mechi 12.

MSIMAMO wa Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) 2024/2025
MSIMAMO wa Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) 2024/2025

Wakati huo huo, Mlandizi Queens wanashika nafasi ya mwisho wakiwa na pointi 1, baada ya kutoka sare mechi moja na kupoteza 11. Timu ya Gets Program nayo ipo katika hali mbaya, ikiwa na pointi 5 pekee.

MSIMAMO wa Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) 2024/2025

P Team Pld W D L F A DGD Pts
1 Simba Queens 15 13 1 1 50 11 39 40
2 JKT Queens 15 12 2 1 60 7 53 38
3 Yanga Princess 15 10 3 2 31 10 21 33
4 Mashujaa Queens 15 7 3 5 25 18 7 24
5 Ceasiaa Queens 15 6 2 7 22 32 -10 20
6 Bunda Queens 15 4 4 7 19 23 -4 16
7 Alliance Girls 15 4 4 7 18 27 -9 16
8 Fountain Princess 15 4 2 9 25 23 2 14
9 Gets Program 15 2 4 9 10 40 -30 10
10 Mlandizi Queens 15 0 1 14 7 76 -69 1

Ligi inaendelea kuwa na ushindani mkubwa, huku Simba Queens ikiendelea kujikita kileleni kwa rekodi ya ushindi wa michezo 12 kati ya 13/Msimamo Ligi ya Wanawake Tanzania 2024/25.

CHECK ALSO: