Msimamo wa Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2024/2025

Msimamo wa Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2024/2025 | Msimu wa Ligi Kuu ya NBC 2023/2024 ulimalizika kwa kishindo, Yanga SC wakiibuka mabingwa kwa mara ya tatu mfululizo. Wanajangwani hao walimaliza kileleni mwa msimamo wakiwa na pointi 80 baada ya kucheza mechi 30, wakishinda michezo 26, sare mbili na kupoteza miwili pekee. Azam FC na Simba SC zilimaliza nafasi za pili na tatu mtawalia, zote zikiwa na pointi 69, huku Azam FC ikiwatoa Simba kwa tofauti ya mabao.

Msimu wa 2024/2025 unatarajiwa kuwa na msisimko zaidi, huku timu zikifanya usajili wa nguvu na kujiandaa kuwania taji la ubingwa. Je, Yanga SC wataweza kutetea ubingwa wao? Msimamo wa Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2024/2025

Je, Azam FC na Simba SC wanaweza kuitoa Yanga kileleni? Je, tutaziona timu nyingine zikiibuka washindani wenye nguvu? Maswali haya na mengine mengi yatajibiwa msimu huu ukiendelea/Msimamo wa Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2024/2025.

Msimamo wa Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2024/2025
Msimamo wa Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2024/2025

Mashabiki wa soka wa Tanzania wana kila sababu ya kutarajia msimu uliojaa msisimko, ushindani mkali na mambo mengi ya kushangaza. Ligi Kuu ya NBC 2024/2025 inaahidi kuwa msimu ambao hautakumbukwa kwa matokeo yake tu, bali pia kwa ubora wa soka utakaochezwa.

Msimamo wa Ligi Kuu NBC Tanzania Bara 2024/2025

PosTimuPWDLGFGAGDPts
1Young Africans2219125894958
2Simba2117314683854
3Azam FC22136332122045
4Singida Black Stars22125531191241
5Tabora2210752626037
6JKT Tanzania226971616027
7Dodoma Jiji FC217592227-526
8Fountain Gate2274112639-1325
9Coastal Union225981823-524
10KMC2266101532-1724
11Mashujaa FC225891726-923
12Namungo FC2265111627-1123
13Pamba2257101323-1022
14Tanzania Prisons2246121227-1518
15Kagera Sugar2237121630-1416
16Kengold FC2236131838-2015

ANGALIA PIA: