CAF Yafungua Dirisha la Maombi ya Leseni kwa Klabu za Afrika 2025/2026 | Mwisho Juni 10. CAF Yatangaza Kufungua Kipindi cha Maombi ya Leseni ya Klabu kwa Mashindano ya 2025/2026
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kupitia kwa Ofisa Habari na Mawasiliano, Cliford Mario Ndimbo, limetoa taarifa rasmi kuhusu ufunguzi wa maombi ya leseni za klabu kwa vilabu kushiriki mashindano ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kwa msimu wa 2025/2026.
CAF Yafungua Dirisha la Maombi ya Leseni kwa Klabu za Afrika 2025/2026
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, maombi yamefunguliwa kuanzia Mei 19, 2025, na yatawasilishwa mtandaoni kupitia kiungo rasmi cha CAF:
TFF imesisitiza kuwa mwisho wa kutuma maombi ni Juni 10, 2025. Vilabu vyote vinavyotaka kushiriki mashindano ya CAF, yakiwemo Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika, vinapaswa kukamilisha taratibu zote ifikapo tarehe hiyo.
CHECK ALSO:
- CAF Kuzindua Kombe Jipya la CAF Champions League Mei 22
- Hamza Arejea Kikosini Kwa Ajili ya Fainali Dhidi ya RS Berkane
- Manchester United vs Tottenham Leo, Fainali ya UEFA Europa 2025 Saa 4:00 Usiku
- Simba Yatangaza Bei Mpya za Viingilio na Utaratibu Mpya wa Tiketi
- Mamelodi Sundowns vs Pyramids Jumamosi Hii, Fainali ya CAF Champions League 2025Â
Weka maoni yako