Hawa Hapa Waamuzi wa Mechi ya Yanga vs Simba 25/06/2025: Mchezo wa 184 wa Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Premier League) kati ya Young Africans SC (Yanga) dhidi ya Simba SC utachezeshwa na waamuzi wa kimataifa kutoka Misri, Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza rasmi.
Mchezo wa Kariakoo derby unaotarajiwa kufanyika Jumatano Juni 25, 2025 kuanzia saa 11:00 Jioni kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, utaangaliwa kwa makini kutokana na umuhimu wake wa kufuzu ligi na mchuano mkali wa kihistoria baina ya timu hizo mbili.
Hawa Hapa Waamuzi wa Mechi ya Yanga vs Simba 25/06/2025

Majina ya Maofisa Watakaosimamia Mchezo:
Mwamuzi wa Kati: Amin Mohammed πͺπ¬
Mwamuzi Msaidizi 1: Mahmud Ahmed πͺπ¬
Mwamuzi Msaidizi 2: Samir Gamal πͺπ¬
Mwamuzi wa Akiba (Fourth Official): Ahmed πͺπ¬
Mkaguzi wa Waamuzi (Referee Assessor): Ali Ahmed πΈπ΄
Uteuzi huu wa waamuzi wa kigeni unalenga kuhakikisha unachezwa kwa haki, bila upendeleo na kukuza hadhi ya mchezo huu maarufu unaotazamwa na maelfu ya mashabiki wa ndani na nje ya Tanzania.
CHECK ALSO:
Weka maoni yako