Haya Hapa Makundi ya Ndondo Cup 2025

Haya Hapa Makundi ya Ndondo Cup 2025: Orodha kamili ya makundi manne yenye jumla ya timu 32 zitakazoshiriki mashindano ya Ndondo Cup 2025. Msimu huu umekuja na kauli mbiu ya “kitaakinautaka”, ikionyesha msimu wenye ushindani mkali na nguvu ya pamoja ya jamii katika ligi hiyo ya mitaa.

Haya Hapa Makundi ya Ndondo Cup 2025

Haya Hapa Makundi ya Ndondo Cup 2025

KUNDI A

Msisiri United
Weekend Team
Mshikamano Talent
Mchalingeni FC

KUNDI B

Azimio FC
Bahari FC
MORO Vipaji
Tabat Mgundini

KUNDI C

Tandika City
Faru Jeuri
Mbweni Teta
Buza Mabegani

KUNDI D

Mask FC
Kibangu Rangers
Ziota FC
Friends Rangers

KUNDI E

Keko Furniture
Kauzu FC
GOMZ FC
Mamelodi Sundowns

KUNDI F

Madenge FC
Premium Security
Mabingwa Msasani
Haipotei Jogging

KUNDI G

Mabibo Market
Makuburi FC
Mazizini Combine
Boni Yai FC

KUNDI H

SOCCER CITY
SINZA STAR
GONGA FC
KAGERA BOYS

CHECK ALSO:

  1. Tetesi za Usajili, Clatous Chama Kusajili Singida Black Stars
  2. Yanga Day 2025, Kilele cha Wiki ya Mwananchi
  3. Picha za Wachezaji Wapya wa Yanga 2025/2026
  4. Lassine Kouma Kutua Yanga, Simba SC Wajiondoa