Makocha Wanaolipwa Mshahara Mkubwa Afrika 2026

Makocha Wanaolipwa Mshahara Mkubwa Afrika 2026 | Kadri michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) inavyoelekea katika hatua ya 16 bora, masuala ya kiufundi na kiutawala yanaendelea kuvutia mjadala mkubwa. Miongoni mwa masuala hayo ni mishahara ya makocha wakuu wa timu za taifa, ambayo inaonyesha wazi tofauti za uwekezaji na matarajio ya mafanikio kwa kila nchi shiriki.

Makala hii inaeleza kwa kina orodha ya makocha wanaolipwa pesa nyingi zaidi katika AFCON 2025, kwa mujibu wa takwimu zilizopo, pamoja na umuhimu wa mishahara hiyo katika mafanikio ya timu.

Makocha Wanaolipwa Mshahara Mkubwa Afrika 2026

Hii hapa Orodha ya Makocha Wanaolipwa Zaidi AFCON 2025 kwa timu za Taifa:-

  1. Vladimir Petrovic โ€“ Algeria ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ (โ‚ฌ135,000)

  2. Hugo Broos โ€“ South Africa ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ (โ‚ฌ75,000)

  3. Emerse Faรฉ โ€“ Ivory Coast ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ (โ‚ฌ75,000)

  4. Walid Regragui โ€“ Morocco ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ (โ‚ฌ70,000)

  5. Sรฉbastien Desabre โ€“ DR Congo ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ (โ‚ฌ50,000)

  6. Eric Chelle โ€“ Nigeria ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ (โ‚ฌ50,000)

  7. Kwesi Appiah โ€“ Sudan ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ (โ‚ฌ48,000)

  8. Hossam Hassan โ€“ Egypt ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ (โ‚ฌ30,000)

  9. Gernot Rohr โ€“ Benin ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฏ (โ‚ฌ25,000)

  10. Tom Saintfiet โ€“ Mali ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ (โ‚ฌ20,000)

CHECK ALSO:

  1. Chelsea Yaachana Rasmi na Kocha Enzo Maresca
  2. Ratiba ya AFCON 2025 Hatua ya 16 Bora
  3. Ratiba ya Mechi za Hatua ya 16 Bora AFCON 2025
  4. KIKOSI Cha Azam vs Singida Black Stars Leo 31/12/2025