Manchester United Yatupwa Nje ya Kombe la FA Baada ya Kipigo cha Penalti Dhidi ya Fulham | Manchester United wameshindwa kufuzu kwa nusu fainali ya Kombe la FA baada ya kufungwa 4-3 kwa mikwaju ya penalti na Fulham katika mchezo wa robo fainali uliopigwa Old Trafford.
Mechi hiyo ilimalizika kwa sare ya 1-1 baada ya dakika 90 na mshindi kuamuliwa kwa mikwaju ya penalti.
Manchester United Yatupwa Nje ya Kombe la FA
Matokeo ya Mechi
✅ FT: Manchester United 1-1 Fulham
⚽ 45+1′ Bassey (Fulham)
⚽ 71′ Bruno Fernandes (Man United)

Matokeo ya Penalti
🔴 Manchester United: ✅ ✅ ✅ ❌ ❌
⚪ Fulham: ✅ ✅ ✅ ✅
Manchester United walikosa penalti mbili mfululizo, na kuwapa Fulham nafasi ya kusonga mbele kwa nguvu. Ushindi huo ni wa kihistoria kwa Fulham, ambao sasa wanatinga nusu fainali ya michuano hiyo.
Je, United watajifunza kutokana na makosa yao na kufanya vizuri zaidi katika mashindano mengine? Endelea kufuatilia habari za soka hapa!
CHECK ALSO:
- Barcelona Yarejea Kileleni mwa LaLiga Baada ya Kuichapa Real Sociedad 4-0
- Msimamo wa NBC Premier League 2024/25 Ligi Kuu Bara
- Simba vs TMA CRDB Federation Cup Hatua ya 32 Bora
- Mbeya City Yaitupa Azam Nje CRDB Bank Federation Cup 2024/2025
- Wachezaji Waliohusika Katika Mabao Mengi NBC Kuelekea Kariakoo Derby
Weka maoni yako