Matokeo ya UEFA Champions League Jana 25/11/2025 | Mashindano ya UEFA yanaendelea leo kwa michezo mikubwa inayotarajiwa kuvuta hisia za mashabiki wa soka duniani. Timu kadhaa zenye historia na uwezo mkubwa zinatarajiwa kushuka dimbani kuwania ushindi muhimu katika hatua mbalimbali za mashindano.
Matokeo ya UEFA Champions League Jana 25/11/2025
Hapa chini ni ratiba kamili ya mechi za leo:
20:45 – Ajax FC 0-2 SL Benfica
20:45 – Galatasaray FK 0-1 St. Gilloise
23:00 – Chelsea FC 3-0 Barcelona
23:00 – Bodo Glimt 2-3 Juventus FC
23:00 – SSC Napoli 2-0 Qarabag FK
23:00 – Sparta Prague 0-0 Athletic Club
23:00 – Borussia Dortmund 3-0 Villarreal
23:00 – Manchester City 0-2 Bayer Leverkusen
23:00 – Marseille 2-1 Newcastle United

Michezo ya Kuvutia Leo Usiku
Mechi kati ya Chelsea dhidi ya Barcelona na Manchester City dhidi ya Leverkusen zinatarajiwa kuwa kivutio kikuu kutokana na ushindani wa timu hizi katika soka la Ulaya. Pia, mkongwe Juventus atakuwa ugenini kupambana na Bodo Glimt katika mchezo ambao unaweza kuwa na matukio mengi kutokana na uimara wa timu hizo.
Mashabiki wanashauriwa kufuatilia ratiba hizi kwa wakati ili kutozikosa mechi wanazozipendelea, ikizingatiwa kuwa baadhi ya michezo inaweza kuwa na athari kubwa katika mbio za kuingia hatua zinazofuata.








Weka maoni yako