Msimamo Ligi Daraja la Kwanza 2024-25 Championship

Msimamo Ligi Daraja la Kwanza 2024-25 Championship | Msimamo wa Championship Tanzania 2024-25 Ligi Daraja la Kwanza NBC, LIGI DARAJA LA KWANZA, maarufu kwa jina la NBC Championship Tanzania, ni miongoni mwa mashindano yenye umaarufu mkubwa nchini.

Ligi hiyo ni ya pili kwa ukubwa baada ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Premier League) na kutoa fursa kwa timu kuonyesha vipaji vyao na kutinga hatua nyingine. Kwa msimu wa 2024/2025, ligi imepangwa kuanza Septemba 14, 2024 na kukamilika Mei 10, 2025.

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza orodha ya mechi na wadau wengi wa soka wana matumaini na msimu huu kutokana na ushindani unaotarajiwa kutoka kwa timu zinazowania nafasi ya kushiriki Ligi Kuu ya NBC/Msimamo wa Championship Tanzania 2024-25 Ligi Daraja la Kwanza/Msimamo Ligi Daraja la Kwanza 2024-25 Championship.

Msimamo Ligi Daraja la Kwanza 2024-25 Championship

Msimamo Ligi Daraja la Kwanza 2024-25 Championship
Msimamo Ligi Daraja la Kwanza 2024-25 Championship
POS TEAM P W D L GF GA GD PTS
1 Mtibwa Sugar 21 16 3 2 40 9 31 51
2 Geita Gold 21 14 3 4 38 16 22 45
3 Mbeya City 21 12 7 2 38 19 19 43
4 Stand United 21 13 4 4 33 19 14 43
5 Mbeya Kwanza 21 11 5 5 31 18 13 38
6 TMA 21 11 5 5 31 20 11 38
7 Bigman 21 10 6 5 19 13 6 36
8 Songea United 21 9 7 5 27 22 5 34
9 Mbuni 21 7 5 9 26 28 -2 26
10 Polisi Tanzania 21 6 6 9 20 28 -8 24
11 Green Warriors 21 6 2 13 15 34 -19 20
12 Kiluvya 21 5 1 15 15 31 -16 16
13 African Sports 21 4 2 15 20 38 -18 14
14 Cosmopolitan 21 3 3 15 12 33 -21 12
15 Transit Camp 21 2 5 14 12 32 -20 11
16 Biashara United 21 1 5 12 16 33 -17 4

CHECK ALSO: