Msimamo wa Championship Tanzania 2024-25 Ligi Daraja la Kwanza

Msimamo wa Championship Tanzania 2024-25 Ligi Daraja la Kwanza NBC | LIGI DARAJA LA KWANZA, maarufu kwa jina la NBC Championship Tanzania, ni miongoni mwa mashindano yenye umaarufu mkubwa nchini. Ligi hiyo ni ya pili kwa ukubwa baada ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Premier League) na kutoa fursa kwa timu kuonyesha vipaji vyao na kutinga hatua nyingine. Kwa msimu wa 2024/2025, ligi imepangwa kuanza Septemba 14, 2024 na kukamilika Mei 10, 2025.

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza orodha ya mechi na wadau wengi wa soka wana matumaini na msimu huu kutokana na ushindani unaotarajiwa kutoka kwa timu zinazowania nafasi ya kushiriki Ligi Kuu ya NBC/Msimamo wa Championship Tanzania 2024-25 Ligi Daraja la Kwanza.

Msimamo wa Championship Tanzania 2024-25 Ligi Daraja la Kwanza

POSTEAMPWDLGFGAGDPTS
1Mtibwa Sugar24183347133457
2Mbeya City24157248212752
3Stand United24164440192152
4Geita Gold24153641192248
5TMA24145535201547
6Mbeya Kwanza24126633221142
7Bigman2411852315841
8Songea United2411763226640
9Mbuni2486102729-230
10Polisi Tanzania2477102230-828
11Green Warriors2462161739-2220
12Kiluvya2461171737-2019
13Cosmopolitan2444161637-2216
14African Sports2442182146-2514
15Transit Camp2425171439-2511
16Biashara United2464141939-207
Msimamo wa Championship Tanzania 2024-25 Ligi Daraja la Kwanza
Msimamo wa Championship Tanzania 2024-25 Ligi Daraja la Kwanza

Msimamo wa NBC Championship League kwa msimu wa 2024/2025 baada ya michezo 21. Timu zinapambana kuwania nafasi za kupanda Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Premier League) huku zingine zikipigania kuepuka kushuka daraja/Msimamo wa Championship Tanzania 2024-25 Ligi Daraja la Kwanza.

  • Mtibwa Sugar inaongoza ligi ikiwa na alama 51 baada ya kushinda michezo 16 kati ya 21.
  • Geita Gold ipo nafasi ya pili ikiwa na alama 45, ikifukuzia nafasi ya kupanda moja kwa moja.
  • Mbeya City na Stand United zinashikilia nafasi ya tatu na nne zikiwa na alama 43 kila moja.

CHECK ALSO: