MSIMAMO wa Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) 2024/2025

MSIMAMO wa Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) 2024/2025 | Msimamo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara 2024/2025 baada ya Mechi 12

Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania Bara msimu wa 2024/2025 imeendelea kwa ushindani mkubwa baada ya Mechi 12. Timu kadhaa zimeonyesha uwezo mkubwa na baadhi kuibuka kuwania ubingwa.

Katika msimamo wa ligi baada ya Mechi 12, Simba Queens inaongoza kwa pointi 34, ikifuatiwa na JKT Queens yenye pointi 29. Nafasi ya tatu inashikwa na Yanga Princess, wenye pointi 24 baada ya mechi 12.

MSIMAMO wa Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) 2024/2025
MSIMAMO wa Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) 2024/2025

Wakati huo huo, Mlandizi Queens wanashika nafasi ya mwisho wakiwa na pointi 1, baada ya kutoka sare mechi moja na kupoteza 11. Timu ya Gets Program nayo ipo katika hali mbaya, ikiwa na pointi 5 pekee.

MSIMAMO wa Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) 2024/2025

PTeamPldWDLFADGDPts
1Simba Queens15131150113940
2JKT Queens1512216075338
3Yanga Princess15103231102133
4Mashujaa Queens157352518724
5Ceasiaa Queens156272232-1020
6Bunda Queens154471923-416
7Alliance Girls154471827-916
8Fountain Princess154292523214
9Gets Program152491040-3010
10Mlandizi Queens150114776-691

Ligi inaendelea kuwa na ushindani mkubwa, huku Simba Queens ikiendelea kujikita kileleni kwa rekodi ya ushindi wa michezo 12 kati ya 13/Msimamo Ligi ya Wanawake Tanzania 2024/25.

CHECK ALSO: