Msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar PBZ 2024-2025

Msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar PBZ 2024-2025 | Huu Hapa Msimamo wa Ligi Kuu ya Zanzibar (PBZ Premier League) 2024/2025

Ligi kuu ya Zanzibar (PBZ Premier League) msimu wa 2024/2025 inaendelea kushika kasi huku timu zikipambana kuwania nafasi za juu kwenye msimamo. Baada ya mechi 19 au 20 kwa baadhi ya timu, Mlandege FC, KVZ FC na Mafunzo FC zinaendelea kuonyesha ushindani mkali, lakini M/Makumbi City imekamata nafasi ya kwanza kwa kujikusanyia pointi 41.

Katika mpambano huo wa kushuka daraja timu za Mwenge SC, New City FC, Inter Zanzibar na Tekeleza FC zinakabiliwa na hali ngumu kutokana na matokeo mabaya, na Tekeleza FC ina pointi 3 pekee baada ya michezo 19.

Msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar PBZ 2024-2025

Huu hapa ndio msimamo kamili wa ligi hadi sasa:

POSTEAMPWDLGFGAGDPTS
1M/MAKUMBI CITY20125331151641
2MLANDEGE FC19107234112337
3KVZ FC208102157834
4MAFUNZO FC1995525131232
5ZIMAMOTO SC199552920932
6JKU SC1979332151730
7UHAMIAJI FC197842016429
8KIPANGA FC207762016428
9KMKM SC197752117428
10MALINDI SC197751915428
11JUNGUNI UNITED206861819-126
12CHIPUKIZI UNITED2051051415-125
13MWENGE SC2063111638-2221
14NEW CITY FC1944111422-816
15INTER ZANZIBAR1912161351-385
16TEKELEZA FC190316536-313
Msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar PBZ 2024-2025
Msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar PBZ 2024-2025

CHECK ALSO: