Ratiba Mechi za Ligi Kuu NBC Tanzania April 5 na 6, 2025

Ratiba Mechi za Ligi Kuu NBC Tanzania April 5 na 6, 2025 | Ligi kuu ya Tanzania bara NBC inaendelea wikendi hii kwa mechi sita katika viwanja mbalimbali nchini. Mashabiki wa soka wanatarajia burudani mbalimbali huku kila timu ikipania kupata pointi muhimu kuelekea mwisho wa msimu.

Ligi Kuu ya Tanzania Bara ni ligi ya kiwango cha juu ya soka ya Tanzania, inayosimamiwa na Shirikisho la Soka Tanzania.

Ratiba Mechi za Ligi Kuu NBC Tanzania April 5 na 6, 2025

Saa 8:00 mchana. kwenye Uwanja wa CCM Pamba, Jiji FC wakiwakaribisha Tabora United.

Saa 10:15 jioni. kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma, Mashujaa FC, chini ya uongozi wa kocha wao mpya, Salum Mayanga, itamenyana na Fountain Gate FC, iliyochapwa mabao 3-0 nyumbani.

Mechi za Ijumaa, Aprili 5, 2025

  1. Pamba Jiji vs Tabora United

    • πŸ•— Saa 8:00 Mchana

    • πŸ“Ί Azam Sports HD

  2. Mashujaa vs Fountain Gate

    • πŸ•™ Saa 10:15 Jioni

    • πŸ“Ί Azam Sports HD

Ratiba Mechi za Ligi Kuu NBC Tanzania April 5 na 6, 2025

Mechi za Jumamosi, Aprili 6, 2025

  1. Tanzania Prisons vs Kagera Sugar

    • πŸ•— Saa 8:00 Mchana

    • πŸ“Ί Azam Sports HD

  2. Singida BS vs Azam FC

    • πŸ•™ Saa 10:15 Jioni

    • πŸ“Ί Azam Sports HD

  3. Dodoma Jiji vs KenGold

    • πŸ•§ Saa 12:30 Jioni

    • πŸ“Ί Azam Sports HD

  4. Namungo FC vs KMC FC

    • πŸŒ™ Saa 3:00 Usiku

    • πŸ“Ί Azam Sports HD

Watazamaji wanakumbushwa kufuatilia mechi hizi kupitia chaneli ya Azam Sports HD, kwani ratiba inaweza kubadilika kulingana na hali ya hewa au maamuzi ya kamati ya ligi. Inashauriwa kufuatilia matangazo rasmi ya TFF au Azam TV kwa taarifa sahihi zaidi.

CHECK ALSO: