Ratiba ya AFCON 2025/2026 – Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025/2026 yanatarajiwa kuchezwa kuanzia Desemba 21, 2025 hadi Januari 18, 2026/Ratiba ya AFCON 2025/2026.
Ratiba rasmi ya hatua ya makundi na mchujo imetolewa, ikionyesha michezo ya kuvutia kati ya vigogo wa soka la Afrika na timu zinazotafuta nafasi ya kutengeneza historia mpya/Ratiba ya AFCON 2025/2026.
Ratiba ya AFCON 2025/2026
Ratiba ya Hatua ya Makundi
Jumapili 21 Desemba
-
Morocco 🆚 Comoros — 4:00 Usiku
Jumatatu 22 Desemba
-
Mali 🆚 Zambia — 11:00 Jioni
-
Afrika Kusini 🆚 Angola — 2:00 Usiku
-
Misri 🆚 Zimbabwe — 5:00 Usiku
Jumanne 23 Desemba
-
Congo DR 🆚 Benin — 9:30 Alasiri
-
Senegal 🆚 Botswana — 12:00 Jioni
-
Nigeria 🆚 Tanzania — 2:30 Usiku
-
Tunisia 🆚 Uganda — 5:00 Usiku
Jumatano 24 Desemba
-
Burkina Faso 🆚 Eq. Guinea — 9:30 Alasiri
-
Algeria 🆚 Sudan — 12:00 Jioni
-
Ivory Coast 🆚 Msumbiji — 2:30 Usiku
-
Cameroon 🆚 Gabon — 5:00 Usiku
Ijumaa 26 Desemba
-
Angola 🆚 Zimbabwe — 9:30 Alasiri
-
Misri 🆚 Afrika Kusini — 12:00 Jioni
-
Zambia 🆚 Comoros — 2:30 Usiku
-
Morocco 🆚 Mali — 5:00 Usiku

Jumamosi 27 Desemba
-
Benin 🆚 Botswana — 9:30 Alasiri
-
Senegal 🆚 Congo DR — 12:00 Jioni
-
Uganda 🆚 Tanzania — 2:30 Usiku
-
Nigeria 🆚 Tunisia — 5:00 Usiku
Jumapili 28 Desemba
-
Gabon 🆚 Msumbiji — 9:30 Alasiri
-
Eq. Guinea 🆚 Sudan — 12:00 Jioni
-
Algeria 🆚 Burkina Faso — 2:30 Usiku
-
Ivory Coast 🆚 Cameroon — 5:00 Usiku
CHECK ALSO:






Weka maoni yako