Ratiba ya AFCON 2025 Hatua ya 16 Bora

Ratiba ya AFCON 2025 Hatua ya 16 Bora | Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 yanayoendelea nchini Morocco yamefikia hatua muhimu ya 16 bora. Hatua hii inawakutanisha timu bora kutoka hatua ya makundi, ambapo kila mechi ni ya mtoano na ushindi pekee ndio unaohitajika ili kusonga mbele.

Kwa mujibu wa ratiba iliyoonyeshwa kwenye picha rasmi ya mashindano, mechi za 16 bora zitachezwa kuanzia Jumamosi 3 Januari hadi Jumanne 6 Januari, zikiwa na mvuto mkubwa kwa mashabiki wa soka barani Afrika.

Ratiba ya AFCON 2025 Hatua ya 16 Bora

Jumamosi, 3 Januari

  • Senegal 🇸🇳 vs Sudan 🇸🇩 – Saa 1:00 Usiku

  • Mali 🇲🇱 vs Tunisia 🇹🇳 – Saa 4:00 Usiku

Jumapili, 4 Januari

  • Morocco 🇲🇦 vs Tanzania 🇹🇿 – Saa 1:00 Usiku

  • South Africa 🇿🇦 vs Cameroon 🇨🇲 – Saa 4:00 Usiku

Ratiba ya AFCON 2025 Hatua ya 16 Bora
Ratiba ya AFCON 2025 Hatua ya 16 Bora

Jumatatu, 5 Januari

  • Egypt 🇪🇬 vs Benin 🇧🇯 – Saa 1:00 Usiku

  • Nigeria 🇳🇬 vs Mozambique 🇲🇿 – Saa 4:00 Usiku

Jumanne, 6 Januari

  • Algeria 🇩🇿 vs DR Congo 🇨🇩 – Saa 1:00 Usiku

  • Ivory Coast 🇨🇮 vs Burkina Faso 🇧🇫 – Saa 4:00 Usiku

Hatua ya 16 bora ya AFCON 2025 inaashiria mwanzo wa mapambano makali ya kusaka ubingwa wa Afrika. Kwa ratiba hii, mashabiki wanatarajia burudani ya kiwango cha juu, mshindani mkali, na matokeo yasiyotabirika. Kila timu italazimika kutoa kiwango cha juu ili kuendelea na safari ya AFCON 2025.

CHECK ALSO:

  1. Ratiba ya Mechi za Hatua ya 16 Bora AFCON 2025
  2. KIKOSI Cha Azam vs Singida Black Stars Leo 31/12/2025
  3. Matokeo Azam vs Singida Black Stars Leo 31/12/2025
  4. Azam Dhidi ya Singida Black Stars Leo 31/12/2025