Ratiba ya Mapinduzi Cup 2026

Ratiba ya Mapinduzi Cup 2026 | MAPINDUZI CUP 2026: Ratiba Kamili, Makundi na Viwanja Rasmi vya Mashindano.

Mashindano ya Mapinduzi Cup 2026 yamepangwa rasmi kuanza tarehe 28 Desemba 2025 na yanatarajiwa kumalizika tarehe 13 Januari 2026. Michuano hii ni sehemu muhimu ya kalenda ya soka Tanzania, ikiwaleta pamoja vilabu vikubwa vya Tanzania Bara na Zanzibar, pamoja na taasisi za kijeshi.

Makundi

Mapinduzi Cup 2026 imeundwa kwa makundi matatu, kila kundi likiwa na timu tatu hadi nne kama ifuatavyo:

Kundi A

  • Mlandege FC
  • Azam FC
  • Singida Black Stars
  • Ura FC

Kundi B

  • Simba SC
  • Muembe Makumbi City
  • Fufuni SC

Kundi C

  • Yanga SC
  • KVZ
  • TRA

Timu zitacheza hatua ya makundi kabla ya kuingia hatua ya nusu fainali na fainali.

Viwanja Vitakavyotumika

Mashindano yote yatafanyika Zanzibar katika viwanja viwili rasmi:

  • Uwanja wa Amaan, Unguja

  • Uwanja wa Gombani, Pemba

Hatua kubwa ya makundi na nusu fainali zitachezwa Amaan Stadium, huku fainali ikipangwa kuchezwa Gombani Stadium.

Ratiba ya Mapinduzi Cup 2026

Ratiba ya Mapinduzi Cup 2026
Ratiba ya Mapinduzi Cup 2026

28/12/2025

  • Grp A | Mechi 1: Mlandege FC vs Singida BS — 16:15 — Amaan

  • Grp A | Mechi 2: Azam FC vs Ura FC — 20:15 — Amaan

29/12/2025

  • Grp B | Mechi 3: Fufuni SC vs Muembe Makumbi City — 16:15 — Amaan

  • Grp C | Mechi 4: KVZ vs TRA — 20:15 — Amaan

30/12/2025

  • REST DAY

31/12/2025

  • Grp A | Mechi 5: Mlandege FC vs Ura FC — 16:15 — Amaan

  • Grp A | Mechi 6: Singida BS vs Azam FC — 20:15 — Amaan

01/01/2026

  • REST DAY

02/01/2026

  • Grp A | Mechi 7: Azam FC vs Mlandege FC — 20:15 — Amaan

03/01/2026

  • Grp A | Mechi 8: Singida BS vs Ura FC — 16:15 — Amaan

04/01/2026

  • Grp B | Mechi 9: Simba SC vs Muembe Makumbi City — 20:15 — Amaan

05/01/2026

  • Grp B | Mechi 11: Fufuni SC vs Simba SC — 20:15 — Amaan

06/01/2026

  • Grp C | Mechi 12: Yanga SC vs TRA — 20:15 — Amaan

07/01/2026

  • REST DAY

08/01/2026

  • SF1 | Mechi 13: Ranked 1A vs Ranked 1B — 20:15 — Amaan

09/01/2026

  • SF2 | Mechi 14: Ranked 2A vs Ranked 1C — 20:15 — Amaan

13/01/2026

  • FINAL | Mechi 15: Winner SF1 vs Winner SF2 — 19:00 — Gombani

CHECK ALSO:

  1. Hassan Mwakinyo vs Stanley Eribo, Boxing Day Disemba 26
  2. Vilabu Vilivyojiunga na African Club Association ACA
  3. CV ya Steve Barker Kocha Mpya wa Simba
  4. Simba Wamteua Steve Barker Kuwa Kocha Mkuu Mpya