Ratiba ya Mechi za Leo NBC Premier League: Kufuatia mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Yanga SC na Simba SC Septemba 16, 2025, msimu mpya wa 2025/2026 wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara NBC utaanza rasmi Septemba 17, 2025. Mechi za ufunguzi zitachezwa katika viwanja mbalimbali nchini, ambapo timu mpya na zenye uzoefu zitamenyana kwa mara ya kwanza msimu huu.
Mashabiki wa soka nchini wanatarajiwa kumiminika viwanjani kufurahia tamasha la soka, huku Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025/2026 ikiahidi kuwa na ushindani mkubwa zaidi.
Ratiba ya Mechi za Leo NBC Premier League

Septemba 23–30, 2025
Mechi za Septemba 23, 2025
- KMC FC 0-1 Singida BS – Saa 10:00 jioni
Mechi za Septemba 24, 2025
- Young Africans vs Pamba Jiji – Saa 1:00 usiku
- Azam FC vs Mbeya City – Saa 3:00 usiku
Mechi za Septemba 25, 2025
- Simba SC vs Fountain Gate – Saa 1:00 usiku
Mechi za Septemba 27, 2025
- Tanzania Prisons vs KMC FC – Saa 10:00 jioni
- Dodoma Jiji vs Coastal Union – Saa 1:00 usiku
Mechi za Septemba 28, 2025
- Pamba Jiji vs Tabora United – Saa 8:00 mchana
- Mtibwa Sugar vs Fountain Gate – Saa 10:15 jioni
Mechi za Septemba 30, 2025
- Singida BS vs Mashujaa FC – Saa 8:00 mchana
- Mbeya City vs Young Africans – Saa 10:15 jioni
ANGALIA HAPA RATIBA YA LIGI KUU NBC 25/26
CHECK ALSO:
Weka maoni yako