Ratiba ya Mechi za Leo NBC Premier League: Kufuatia mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Yanga SC na Simba SC Septemba 16, 2025, msimu mpya wa 2025/2026 wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara NBC utaanza rasmi Septemba 17, 2025. Mechi za ufunguzi zitachezwa katika viwanja mbalimbali nchini, ambapo timu mpya na zenye uzoefu zitamenyana kwa mara ya kwanza msimu huu.
Mashabiki wa soka nchini wanatarajiwa kumiminika viwanjani kufurahia tamasha la soka, huku Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025/2026 ikiahidi kuwa na ushindani mkubwa zaidi.
Ratiba ya Mechi za Leo NBC Premier League

Alhamisi, Januari 29, 2026
🕓 Saa 4:00 jioni
Simba SC vs Mashujaa FC
📍 TRA United
🕘 Saa 9:00 usiku
Azam FC vs TRA United
Ijumaa, Januari 30, 2026
🕓 Saa 4:00 jioni
Mbeya City vs Pamba Jiji
🕖 Saa 7:00 jioni
JKT Tanzania vs Dodoma Jiji
📍 TRA United
Jumamosi, Januari 31, 2026
🕓 Saa 4:00 jioni
Coastal Union vs TRA United
🕖 Saa 7:00 jioni
Namungo FC vs KMC FC
Jumapili, Februari 1, 2026
🕓 Saa 4:00 jioni
Mtibwa Sugar vs Tanzania Prisons
📍 TRA United
🕖 Saa 7:00 jioni
Coastal Union vs TRA United
Jumatatu, Februari 2, 2026
🕓 Saa 4:00 jioni
Tanzania Prisons vs Young Africans SC
🕓 Saa 4:00 jioni
Mbeya City vs Dodoma Jiji
ANGALIA HAPA RATIBA YA LIGI KUU NBC 25/26
CHECK ALSO:






Weka maoni yako