Ratiba ya Mechi za Leo NBC Premier League

Ratiba ya Mechi za Leo NBC Premier League: Ligi kuu ya NBC inarejea leo kwa mechi nne za kusisimua mashabiki wa soka wa Tanzania. Mechi kubwa ya siku hiyo ni Tabora United dhidi ya Yanga SC, itakayopigwa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi kuanzia saa 10:15 jioni.

Raundi ya kwanza Yanga SC ilipoteza kwa Tabora United licha ya kucheza nyumbani na kuwaacha Wananchi wakiwa na kiu ya kulipa kisasi. Timu zote zinajiandaa kupata pointi tatu muhimu katika mbio za ubingwa na kujihakikishia nafasi yao kwenye msimamo wa ligi.

Ratiba ya Mechi za Leo NBC Premier League

Ratiba ya Mechi za Leo NBC Premier League
Ratiba ya Mechi za Leo NBC Premier League

May 11, 2025
10:00 jioni – KMC FC vs Simba SC

May 12, 2025
10:00 jioni – Tanzania Prisons vs Coastal Union

May 12, 2025
12:30 jioni – Kagera Sugar vs Mashujaa FC

May 13, 2025
8:00 mchana – JKT Tanzania vs Fountain Gate

May 13, 2025
10:15 jioni – KenGold FC vs Pamba Jiji

Mchezo wa Tabora United dhidi ya Yanga SC utaruka mubashara kupitia Azam Sports 1HD, hivyo mashabiki wa soka watapata fursa ya kushuhudia pambano hili linalotajwa kuwa la kisasi kwa Wananchi.

CHECK ALSO: