Ratiba ya Mechi za Leo NBC Premier League

Ratiba ya Mechi za Leo NBC Premier League: Ligi kuu ya NBC inarejea leo kwa mechi nne za kusisimua mashabiki wa soka wa Tanzania. Mechi kubwa ya siku hiyo ni Tabora United dhidi ya Yanga SC, itakayopigwa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi kuanzia saa 10:15 jioni.

Tabara United dhidi ya Yanga SC: Je, Yanga watalipiza kisasi?

Raundi ya kwanza Yanga SC ilipoteza kwa Tabora United licha ya kucheza nyumbani na kuwaacha Wananchi wakiwa na kiu ya kulipa kisasi. Timu zote zinajiandaa kupata pointi tatu muhimu katika mbio za ubingwa na kujihakikishia nafasi yao kwenye msimamo wa ligi.

Ratiba ya Mechi za Leo NBC Premier League

Mechi za Ijumaa, Aprili 5, 2025

  1. Pamba Jiji vs Tabora United

    • 🕗 Saa 8:00 Mchana

    • 📺 Azam Sports HD

  2. Mashujaa vs Fountain Gate

    • 🕙 Saa 10:15 Jioni

    • 📺 Azam Sports HD

Mechi za Jumamosi, Aprili 6, 2025

  1. Tanzania Prisons vs Kagera Sugar

    • 🕗 Saa 8:00 Mchana

    • 📺 Azam Sports HD

  2. Singida BS vs Azam FC

    • 🕙 Saa 10:15 Jioni

    • 📺 Azam Sports HD

  3. Dodoma Jiji vs KenGold

    • 🕧 Saa 12:30 Jioni

    • 📺 Azam Sports HD

  4. Namungo FC vs KMC FC

    • 🌙 Saa 3:00 Usiku

    • 📺 Azam Sports HD

Ratiba ya Mechi za Leo NBC Premier League
Ratiba ya Mechi za Leo NBC Premier League

Mchezo wa Tabora United dhidi ya Yanga SC utaruka mubashara kupitia Azam Sports 1HD, hivyo mashabiki wa soka watapata fursa ya kushuhudia pambano hili linalotajwa kuwa la kisasi kwa Wananchi.

CHECK ALSO: