Ratiba ya Mechi za Ligi ya Muungano 2025

Ratiba ya Mechi za Ligi ya Muungano 2025 | Bodi ya Wakurugenzi ya Ligi kwa kushirikiana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Chama cha Soka Zanzibar (ZFF), imetangaza rasmi ratiba ya mechi za Ligi ya Muungano 2025. Mechi zote zinatarajiwa kupigwa katika uwanja wa kisasa wa New Amaan Complex Zanzibar.

Mashindano haya ya kihistoria yanawakutanisha mabingwa na washindi kutoka Tanzania Bara na Zanzibar, kwa lengo la kudumisha mshikamano wa kimichezo baina ya pande zote mbili za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ratiba ya Mechi za Ligi ya Muungano 2025

Robo Fainali

JKU SC πŸ†š Singida BS SC
πŸ“… 23 Aprili 2025
πŸ•š Saa 11:00 Jioni
πŸ“ Amaan Stadium

Zimamoto SC πŸ†š Coastal Union SC
πŸ“… 24 Aprili 2025
πŸ•₯ Saa 10:15 Jioni
πŸ“ Amaan Stadium

KMKM SC πŸ†š Azam FC
πŸ“… 24 Aprili 2025
πŸ•‘ Saa 02:15 Usiku
πŸ“ Amaan Stadium

KVZ FC πŸ†š Yanga SC
πŸ“… 25 Aprili 2025
πŸ•‘ Saa 02:15 Usiku
πŸ“ Amaan Stadium

Ratiba ya Mechi za Ligi ya Muungano 2025
Ratiba ya Mechi za Ligi ya Muungano 2025

Nusu Fainali

JKU SC/Singida BS SC VS KMKM SC/Azam FC
πŸ“… 27 Aprili 2025
πŸ•‘ Saa 02:15 Usiku
πŸ“ Amaan Stadium

Zimamoto/Coastal Union VS KVZ/Yanga
πŸ“… 28 Aprili 2025
πŸ•‘ Saa 02:15 Usiku
πŸ“ Amaan Stadium

Fainali

JKU SC/Singida BS SC/KMKM SC/Azam FC VS Zimamoto/Coastal Union/KVZ/Yanga
πŸ“… 30 Aprili 2025
πŸ•‘ Saa 02:15 Usiku
πŸ“ Amaan Stadium

CHECK ALSO: