Ratiba ya Tanzania Taifa Stars Kundi B CHAN 2024 | SHIRIKISHO la Soka barani Afrika (CAF) limechapisha ratiba rasmi ya hatua ya makundi ya michuano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) 2024, ambayo mwaka huu itafanyika katika nchi tatu: Kenya, Tanzania, na Uganda (KE-TZ-UG 2024).
Kwa mujibu wa ratiba rasmi, kundi B litacheza mechi zake zote kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, Tanzania. Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) ipo katika kundi na timu za Burkina Faso, Madagascar, Mauritania, na Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR).
Ratiba ya Tanzania Taifa Stars Kundi B CHAN 2024
Ratiba inaonyesha kuwa mechi za hatua ya makundi zitaanza rasmi Jumamosi, Agosti 2, 2025 na kuhitimishwa Jumamosi, Agosti 16, 2025/Ratiba ya Tanzania Taifa Stars Kundi B CHAN 2024.
-
Tanzania πΉπΏ vs Burkina Faso π§π«
Jumamosi, Agosti 2, 2025 β Saa 2:00 usiku (20:00) -
Madagascar π²π¬ vs Mauritania π²π·
Jumapili, Agosti 3, 2025 β Saa 2:00 usiku (20:00) -
Mauritania π²π· vs Tanzania πΉπΏ
Jumatano, Agosti 6, 2025 β Saa 2:00 usiku (20:00) -
Burkina Faso π§π« vs Central African Republic π¨π«
Jumatano, Agosti 6, 2025 β Saa 11:00 jioni (17:00) -
Central African Republic π¨π« vs Mauritania π²π·
Jumamosi, Agosti 9, 2025 β Saa 11:00 jioni (17:00)

-
Tanzania πΉπΏ vs Madagascar π²π¬
Jumamosi, Agosti 9, 2025 β Saa 2:00 usiku (20:00) -
Madagascar π²π¬ vs Central African Republic π¨π«
Jumatano, Agosti 13, 2025 β Saa 2:00 usiku (20:00) -
Mauritania π²π· vs Burkina Faso π§π«
Jumatano, Agosti 13, 2025 β Saa 11:00 jioni (17:00) -
Central African Republic π¨π« vs Tanzania πΉπΏ
Jumamosi, Agosti 16, 2025 β Saa 2:00 usiku (20:00) -
Burkina Faso π§π« vs Madagascar π²π¬
Jumamosi, Agosti 16, 2025 β Saa 2:00 usiku (20:00)
CHECK ALSO:








Weka maoni yako