Ratiba ya Tanzania Taifa Stars Kundi B CHAN 2024

Ratiba ya Tanzania Taifa Stars Kundi B CHAN 2024 | SHIRIKISHO la Soka barani Afrika (CAF) limechapisha ratiba rasmi ya hatua ya makundi ya michuano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) 2024, ambayo mwaka huu itafanyika katika nchi tatu: Kenya, Tanzania, na Uganda (KE-TZ-UG 2024).

Kwa mujibu wa ratiba rasmi, kundi B litacheza mechi zake zote kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, Tanzania. Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) ipo katika kundi na timu za Burkina Faso, Madagascar, Mauritania, na Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR).

Ratiba ya Tanzania Taifa Stars Kundi B CHAN 2024

Ratiba inaonyesha kuwa mechi za hatua ya makundi zitaanza rasmi Jumamosi, Agosti 2, 2025 na kuhitimishwa Jumamosi, Agosti 16, 2025/Ratiba ya Tanzania Taifa Stars Kundi B CHAN 2024.

  • Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ vs Burkina Faso πŸ‡§πŸ‡«
    Jumamosi, Agosti 2, 2025 – Saa 2:00 usiku (20:00)

  • Madagascar πŸ‡²πŸ‡¬ vs Mauritania πŸ‡²πŸ‡·
    Jumapili, Agosti 3, 2025 – Saa 2:00 usiku (20:00)

  • Mauritania πŸ‡²πŸ‡· vs Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
    Jumatano, Agosti 6, 2025 – Saa 2:00 usiku (20:00)

  • Burkina Faso πŸ‡§πŸ‡« vs Central African Republic πŸ‡¨πŸ‡«
    Jumatano, Agosti 6, 2025 – Saa 11:00 jioni (17:00)

  • Central African Republic πŸ‡¨πŸ‡« vs Mauritania πŸ‡²πŸ‡·
    Jumamosi, Agosti 9, 2025 – Saa 11:00 jioni (17:00)

Ratiba ya Tanzania Taifa Stars Kundi B CHAN 2024
Ratiba ya Tanzania Taifa Stars Kundi B CHAN 2024
  • Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ vs Madagascar πŸ‡²πŸ‡¬
    Jumamosi, Agosti 9, 2025 – Saa 2:00 usiku (20:00)

  • Madagascar πŸ‡²πŸ‡¬ vs Central African Republic πŸ‡¨πŸ‡«
    Jumatano, Agosti 13, 2025 – Saa 2:00 usiku (20:00)

  • Mauritania πŸ‡²πŸ‡· vs Burkina Faso πŸ‡§πŸ‡«
    Jumatano, Agosti 13, 2025 – Saa 11:00 jioni (17:00)

  • Central African Republic πŸ‡¨πŸ‡« vs Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
    Jumamosi, Agosti 16, 2025 – Saa 2:00 usiku (20:00)

  • Burkina Faso πŸ‡§πŸ‡« vs Madagascar πŸ‡²πŸ‡¬
    Jumamosi, Agosti 16, 2025 – Saa 2:00 usiku (20:00)

CHECK ALSO:

  1. Usajili Yanga Leo, Wachezaji Wanaotakiwa na Wananchi
  2. Usajili Simba Leo, Wachezaji Wanaotakiwa Msimbazi
  3. Tangazo la Nafasi za Kujiunga na Jeshi la Wananchi la Tanzania JWTZ 2025
  4. JINSI YA KULIPIA ADA YA UANACHAMA YANGA SC