Usajili Yanga Wachezaji Wanaoondoka, Wanaowaniwa na Wanaoongeza Mikataba

Usajili Yanga Wachezaji Wanaoondoka, Wanaowaniwa na Wanaoongeza Mikataba | Wachezaji Wanaoondoka Yanga, Waliosajiliwa na Walioongezewa Mikataba Dirisha la Usajili 2025

Yanga SC imeanza kurekebisha orodha yake kabla ya msimu wa 2025/2026. Mabadiliko haya ni pamoja na kuondoka kwa wachezaji kadhaa, mazungumzo na wachezaji wapya, na kuongeza mikataba kwa wachezaji muhimu. Taarifa hizi zinaonyesha hatua za kwanza ambazo uongozi wa klabu unachukua ili kujenga kikosi imara zaidi kwa ajili ya mashindano yajayo.

Usajili Yanga Wachezaji Wanaoondoka, Wanaowaniwa na Wanaoongeza Mikataba

Wachezaji Wanaoondoka Yanga SC

Kufikia sasa, majina yafuatayo yameripotiwa kuondoka ndani ya kikosi cha Yanga SC:

  • Kennedy Musonda

  • Desin Nkane

  • Chama JR

  • Clement Mzize – Inaripotiwa kuwa anajiunga na timu nyingine zikiwemo Zamalek ya Misri na klabu moja kutoka Ujerumani.

  • Khomeini Abubakar

  • Duke Abuya

  • Khalid Aucho – Hatima yake bado haijafahamika wazi, lakini inategemea iwapo Yanga SC watakubali kumlipa kiasi cha fedha anachodai.

  • Jonas Mkude

  • Jonathan IKANGALOMBO

Usajili Yanga Wachezaji Wanaoondoka, Wanaowaniwa na Wanaoongeza Mikataba
Usajili Yanga Wachezaji Wanaoondoka, Wanaowaniwa na Wanaoongeza Mikataba

Wachezaji Wanaowaniwa na Yanga SC

Kwa upande wa usajili mpya, Yanga SC imeanza harakati za kusaka nyota wapya watakaoongeza nguvu kikosini. Wachezaji wanaohusishwa na dili za kujiunga na klabu hiyo ni pamoja na:

  • Arthur Bada

  • Jonathan Sowah

  • Célestin Ecua – Dili lake linaelezwa kuwa limefikia asilimia 90 ya kukamilika.

  • Rhulani Mokwena – Anatajwa kuwania nafasi ya kuwa Kocha Mkuu wa klabu hiyo.

  • Mohamed Doumbia – Inasemekana tayari amekamilisha makubaliano na Yanga SC.

Wachezaji Wanaoongezewa Mkataba

Aidha, baadhi ya nyota wa kikosi cha sasa wamekuwa wakionyeshwa imani kwa kuongezewa mikataba mipya. Hawa ni:

  • Dickson Job

  • Mudathir Yahaya

  • Pacôme Zouzoua

  • Maxi Mpia Nzengeli

CHECK ALSO:

  1. Kikosi cha Taifa Stars Kwenye Mashindano ya CHAN 2024/2025
  2. RATIBA YA KOMBE LA DUNIA LA KLABU 2025 HATUA YA 16 BORA
  3. MATOKEO ya Fountain Gate vs Tanzania Prisons Leo 26/06/2025
  4. Ratiba ya Michezo ya Play Off NBC Premier League