Viingilio vya Yanga vs Dodoma Jiji 22/06/2025 Uwanja wa Amaan Zanzibar | Mashabiki wa soka wanatarajiwa kushuhudia mtanange mkali kati ya Yanga SC na Dodoma Jiji FC, utakaopigwa Jumapili ya Juni 22, 2025, kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar, kuanzia saa 10:00 jioni.
Mechi hii ni sehemu ya kumalizia msimu wa Ligi Kuu ya NBC na inatarajiwa kuvuta umati mkubwa wa watu kutokana na ukubwa wa timu na ushindani wa mechi.
Viingilio vya Yanga vs Dodoma Jiji 22/06/2025 Uwanja wa Amaan Zanzibar
Nunua tikiti zako mapema ili kuzuia mikusanyiko ya watu siku ya mechi. Tafadhali fuata taratibu za kuingia kulingana na darasa lako la tikiti. Fika uwanjani mapema ili ushuhudie maandalizi ya mechi na burudani.
SAA – Tsh 5,000
ORBIT – Tsh 5,000
URUSI – Tsh 10,000
WINGS – Tsh 15,000
VIP – Tsh 30,000
CHECK ALSO:
Weka maoni yako