Wachezaji Wanaolipwa Pesa Nyingi Tanzania 2025 | Mpira wa miguu ni mchezo wenye mashabiki wengi nchini Tanzania na duniani kote. Kutokana na hali hiyo, uwekezaji mkubwa umefanywa katika mchezo huo, na kusababisha wachezaji kadhaa kupata mamilioni ya mishahara kwa vipaji vyao vya soka.
Wanasoka wenye vipaji kutoka Tanzania wameweza kupata nafasi za kuchezea vilabu vikubwa na kupata mishahara mikubwa kutokana na juhudi na uchezaji wao uwanjani/Wachezaji Wanaolipwa Pesa Nyingi Tanzania 2025.
Katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko kubwa la mishahara ya wanasoka nchini Tanzania. Hii inatokana na kuongezeka kwa thamani ya ligi za ndani na ushirikiano kati ya klabu za Tanzania na wadhamini wakuu. Makala haya yataangazia wachezaji wanaolipwa mishahara mikubwa zaidi Tanzania mwaka 2024, ikiwa ni pamoja na sababu za mishahara yao mikubwa na orodha ya klabu za Tanzania zinazolipa wachezaji wao mishahara mikubwa zaidi.
Wachezaji Wanaolipwa Pesa Nyingi Tanzania 2025
LIGI Kuu Tanzania Bara (NBC Premier League) inazidi kupanda, huku klabu kubwa za Yanga SC, Simba SC na Azam FC zikiwekeza kwenye wachezaji wa kiwango cha juu. Moja ya dalili za mabadiliko haya ni mishahara mikubwa watakayolipwa wachezaji nyota wa ligi hiyo msimu wa 2025/2026.
Wachezaji 10 Bora Wanaolipwa Zaidi katika Ligi Kuu ya NBC 2025/2026

Ifuatayo ni orodha ya wachezaji 10 wanaolipwa zaidi:
1. Neo Maema (Simba SC) β TSh 42 Milioni
2. Clement Mzize (Yanga SC) β TSh 32 Milioni
3. Feisal Salum (Azam FC) β TSh 27 Milioni
4. Balla Conte (Yanga SC) β TSh 26 Milioni
5. Rushine De Reuck (Simba SC) β TSh 26 Milioni
6. Mohamed Hussein (Simba SC) β TSh 26 Milioni
7. PacΓ΄me Zouzoua (Yanga SC) β TSh 22 Milioni
8. Lassine Kouma (Yanga SC) β TSh 21.5 Milioni
9. Chota Chama (Singida Black Stars FC) β TSh 20 Milioni
10. Prince Dube (Yanga SC) β TSh 19 Milioni
CHECK ALSO:








Weka maoni yako