Kikosi cha Azam FC vs Yanga SC Leo 10/04/2025: Azam FC vs Yanga SC Leo, Alhamisi: Dar es Salaam Derby yaamua hatima ya kulipa kisasi au muendelezo wa kushindwa
Leo Alhamisi katika muendelezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Premier League), jiji la Dar es Salaam linashuhudia moja ya mechi muhimu za soka nchini: Dar es Salaam derby kati ya Azam FC na Yanga SC.
Katika mzunguko wa kwanza wa ligi msimu huu, Azam FC iliibuka na ushindi dhidi ya Yanga SC, na kudhihirisha ubora wao mbele ya mashabiki wao. Ushindi huo ulimpa heshima kubwa Chamazi, huku Yanga wakibaki na kiu ya kulipa kisasi.
Sasa, Wananchi wanarejea uwanjani wakiwa na matumaini ya kulipa kisasi na kurejesha heshima yao, huku Azam FC ikiwa na lengo la kuendeleza rekodi yao nzuri dhidi ya mabingwa hao wa zamani.
Kikosi cha Azam FC vs Yanga SC Leo 10/04/2025
Kikosi cha Yanga kinachoaza leo dhidi ya Azam
- DIARRA
- BOKA
- KIBWANA
- JOB
- BACCA
- ABUYA
- MUDATHIR
- MAXI
- PACOME
- CHAMA JR
- DUBE
Kikosi cha Azam kinachoaza leo
- FOBA
- MWAIKENDA
- MSINDO
- DIABY
- MEZA
- ZAYD
- SILLAH
- AKAMINKO
- SOPU
- FEI TOTO
- NADO

Mashabiki wanahimizwa kufika kwa wakati na kuheshimu amani na utulivu ndani na nje ya uwanja. TFF na vyombo vya sheria vimesisitiza kuwa mchezo huu ni wa ushindani lakini lazima uchezwe na kufurahishwa kwa nidhamu.
CHECK ALSO:
- Matokeo ya Azam FC vs Yanga SC Leo 10/04/2025
- Timu Zilizofuzu Nusu Fainali Kombe la Shirikisho CAF 2024/2025
- Historia ya Yanga vs Azam FC Kabla ya Kukutana Alhamisi Ligi Kuu Bara
- Rasmi Simba SC vs Stellenbosch FC Nusu Fainali Kombe la Shirikisho CAF 2024/25
- Mechi za Robo Fainali Mkondo wa Pili CAF Confederation Cup Leo, Aprili 9
Weka maoni yako