Kikosi cha Mamelodi Sundowns Kombe la Dunia la Klabu FIFA 2025

Kikosi cha Mamelodi Sundowns Kombe la Dunia la Klabu FIFA 2025 | Klabu ya Mamelodi Sundowns FC ya Afrika Kusini imetangaza kikosi chake rasmi kwa ajili ya michuano ya Kombe la Dunia la Vilabu la FIFA 2025, itakayoanza Juni 14 hadi Julai 13, 2025.

Kikosi cha Mamelodi Sundowns Kombe la Dunia la Klabu FIFA 2025, Kikosi hicho kinajumuisha jumla ya wachezaji 35, wakiwemo makipa, mabeki, viungo na washambuliaji wa kimataifa wa Afrika Kusini na kimataifa.

Wachezaji muhimu katika kikosi hicho ni pamoja na Denis Onyango (Uganda), Themba Zwane (Chile), Marcelo Allende (Chile), pamoja na nyota wa kimataifa wa Brazil, Lucas Ribeiro na Arthur Sales. Kikosi hicho kinachanganya uzoefu na vipaji vinavyochipukia, na hivyo kuonyesha nia ya klabu kufanya vyema katika mashindano ya kimataifa.

Kikosi cha Mamelodi Sundowns Kombe la Dunia la Klabu FIFA 2025

Kikosi cha Mamelodi Sundowns Kombe la Dunia la Klabu FIFA 2025
Kikosi cha Mamelodi Sundowns Kombe la Dunia la Klabu FIFA 2025
#POSFIRST NAME(S)LAST NAME(S)NAME ON SHIRTNATIONALITY
1GKDenisONYANGOONYANGOUganda
2DFMailongowqe PrinceKHOZAKHOZASouth Africa
3MFTebohoMOKOENAMOKOENASouth Africa
4DFMosaLEBUSALEBUSASouth Africa
5MFAubrey MaphosaMODIBAMODIBASouth Africa
6MFMatiasESQUIVELESQUIVELArgentina
7DFJayden OswinADAMSADAMSSouth Africa
8FWArthur SalesDE OLIVEIRA SALESSALESBrazil
9MFLucas RibeiroRIBEIRO COSTARIBEIROBrazil
10MFMarcelo IvanALLENDE BRAVOALLENDEChile
11MFNeo GiftMAEMAMAEMASouth Africa
12FWIgraamRAYNERSRAYNERSSouth Africa
13MFTerrenceMASHEGOMASHEGOSouth Africa
14MFBathusi JerryAUBAASAUBAASSouth Africa
15DFKutlwanoLETHLAKULETHLAKUSouth Africa
16FWTshegofatsoMATHEWSMATHEWSSouth Africa
17FWThembaZWANEZWANESouth Africa
18MFGomolemo GrantKEKANAKEKANASouth Africa
19MFSpheleleMKHULISEMKHULISESouth Africa
20MFSiyabonga NicolasMABENAMABENASouth Africa
21DFKeanu GregoryCUPIDOCUPIDOSouth Africa
22DFKhuliso JohnsonMUDLUDIMUDLUDISouth Africa
23DFReyaadPIETERSEPIETERSESouth Africa
24DFThapeloMORENAMORENASouth Africa
25DFZukoMDUNYELWAMDUNYELWASouth Africa
26DFDivine XolileLUNGALUNGAZimbabwe
27DFRonwen HaydenWILLIAMSWILLIAMSSouth Africa
28MFRomoeoWALAZIWALAZISouth Africa
29DFMothoobiMVALAMVALASouth Africa
30FWLeboMOTHIBAMOTHIBASouth Africa
31DFJohannesJOHANNESJOHANNESSouth Africa
32FWPeter TaanyandaSHAALULILESHAALULILENamibia
33DFNkosiNtandoNkosiSouth Africa
34DFSibongiseniSIBIYASIBIYASouth Africa
35GKSaneleTSHABALALATSHABALALASouth Africa

Kocha mkuu wa timu hiyo ni Mreno Miguel Cardoso, ambaye anatarajiwa kuinoa timu hiyo kwa weledi na mbinu za kisasa za kimataifa/Kikosi cha Mamelodi Sundowns Kombe la Dunia la Klabu FIFA 2025.

CHECK ALSO:

  1. Kikosi cha Al Ahly FC kwa Kombe la Dunia la Vilabu FIFA 2025
  2. Kaizer Chiefs Signing Transfer News Today 2025 to 2026
  3. Taifa Stars Yaaga COSAFA CUP Licha ya Ushindi Dhidi ya Eswatini
  4. Zawadi ya Bingwa Kombe la CRDB Federation Cup 2025