Msimamo Kundi la Simba Klabu Bingwa Afrika 2025/2026, RATIBA ya CAF Ligi ya Mabingwa Afrika 2025/2026: SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetangaza rasmi droo ya raundi ya kwanza na ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika 2025/26.
Raundi ya Awali itaanza kwa mechi za mkondo wa kwanza kati ya 19-21 Septemba 2025 na mechi za mkondo wa pili kati ya 26-28 Septemba 2025. Raundi ya Awali ya Pili itafuatia Oktoba 17-19 (mguu wa kwanza) na 24-26 Oktoba (mguu wa pili).
Hatua ya Kundi itaanza tarehe 21 Novemba 2025, na awamu ya mtoano ikipangwa kuanza tarehe 13 Machi 2026.
Msimamo Kundi la Simba Klabu Bingwa Afrika 2025/2026
MD1: 21-23 November
MD2: 28-30 November
MD3: 23-25 January
MD4: 30 Janunary-01 February
MD5: 06-08 February
MD6: 13-15 February

Kundi D:
- Espérance Sportive de Tunis (Tunisia),
 - Simba SC (Tanzania),
 - Petro de Luanda (Angola),
 - Stade Malien (Mali)
 
CHECK ALSO:
					
							
							







Weka maoni yako