Msimamo Kundi la Simba Klabu Bingwa Afrika 2025/2026

Msimamo Kundi la Simba Klabu Bingwa Afrika 2025/2026, RATIBA ya CAF Ligi ya Mabingwa Afrika 2025/2026: SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetangaza rasmi droo ya raundi ya kwanza na ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika 2025/26.

Raundi ya Awali itaanza kwa mechi za mkondo wa kwanza kati ya 19-21 Septemba 2025 na mechi za mkondo wa pili kati ya 26-28 Septemba 2025. Raundi ya Awali ya Pili itafuatia Oktoba 17-19 (mguu wa kwanza) na 24-26 Oktoba (mguu wa pili).

Hatua ya Kundi itaanza tarehe 21 Novemba 2025, na awamu ya mtoano ikipangwa kuanza tarehe 13 Machi 2026.

Msimamo Kundi la Simba Klabu Bingwa Afrika 2025/2026

MD1: 21-23 November

MD2: 28-30 November

MD3: 23-25 January

MD4: 30 Janunary-01 February

MD5: 06-08 February

MD6: 13-15 February

Msimamo Kundi la Simba Klabu Bingwa Afrika 2025/2026
Msimamo Kundi la Simba Klabu Bingwa Afrika 2025/2026

Kundi D:

  1. Espérance Sportive de Tunis (Tunisia),
  2. Simba SC (Tanzania),
  3. Petro de Luanda (Angola),
  4. Stade Malien (Mali)

CHECK ALSO:

  1. Ratiba ya AFCON 2025
  2. Top Assist NBC Premier League 2025/2026
  3. Haya Hapa Makundi ya Kombe La Shirikisho CAF 2025/26
  4. Haya Hapa Makundi ya CAF Klabu Bingwa Afrika 2025/2026