Msimamo wa NBC Premier League 2024/25 Ligi Kuu Bara

Msimamo wa NBC Premier League 2024/25 Ligi Kuu Bara | Ligi Kuu ya NBC 2024/2025 Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania – Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC 2024/2025, Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC 2024/2025, Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC.

Msimu wa 2023/2024 wa ligi kuu ya NBC Tanzania ulimalizika kwa kishindo, huku Yanga SC wakiibuka mabingwa kwa mara ya tatu mfululizo. Wanajangwani hao walimaliza kileleni mwa msimamo wakiwa na pointi 80 baada ya kucheza mechi 30, wakishinda michezo 26, sare mbili na kupoteza miwili pekee. Azam FC na Simba SC zilimaliza nafasi za pili na tatu mtawalia, zote zikiwa na pointi 69, huku Azam FC ikiwatoa Simba kwa tofauti ya mabao.

Msimu wa 2024/2025 unatarajiwa kuwa wa kusisimua zaidi, huku timu zikifanya usajili wa nguvu na kujiandaa kuwania taji la ubingwa. Je, Yanga SC wataweza kutetea ubingwa wao? Msimamo wa NBC Premier League 2024/25 Ligi Kuu Bara

Msimamo wa NBC Premier League 2024/25 Ligi Kuu Bara
Msimamo wa NBC Premier League 2024/25 Ligi Kuu Bara

Mashabiki wa soka wa Tanzania wana kila sababu ya kutarajia msimu uliojaa msisimko, ushindani mkali na mambo mengi ya kushangaza. Ligi Kuu ya NBC 2024/2025 inaahidi kuwa msimu ambao hautakumbukwa kwa matokeo yake tu, bali pia kwa ubora wa soka utakaochezwa/Msimamo wa NBC Premier League 2024/25 Ligi Kuu Bara.

Msimamo wa NBC Premier League 2024/25 Ligi Kuu Bara

# Club P W D L GF GA GD Pts
1 Young Africans 22 19 1 2 58 9 49 58
2 Simba 21 17 3 1 46 8 38 54
3 Azam 22 13 6 3 32 12 20 45
4 Singida BS 22 12 5 5 31 19 12 41
5 Tabora UTD 22 10 7 5 26 26 0 37
6 JKT Tanzania 22 6 9 7 16 16 0 27
7 Dodoma Jiji 21 7 5 9 22 27 -5 26
8 Fountain Gate 22 7 4 11 26 39 -13 25
9 Coastal Union 22 5 9 8 18 23 -5 24
10 KMC 22 6 6 10 15 32 -17 24
11 Mashujaa 22 5 8 9 17 26 -9 23
12 Namungo 22 6 5 11 16 27 -11 23
13 Pamba Jiji 22 5 7 10 13 23 -10 22
14 Tanzania Prisons 22 4 6 12 12 27 -15 18
15 Kagera Sugar 22 3 7 12 16 30 -14 16
16 KenGold 22 3 6 13 18 38 -20 15

CHECK ALSO: