Kikosi cha Taifa Stars Kilichoitwa Leo 2025

Kikosi cha Taifa Stars Kilichoitwa Leo 2025 | Kocha Hemedi Moroco aitaja Taifa Stars kwa ajili ya kufuzu Kombe la Dunia 2026.

Kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania Hemedi Moroco ametangaza rasmi kikosi cha Taifa Stars kitakachoshiriki mechi mbili muhimu za kufuzu Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Congo na Niger mwezi septemba.

Mabadiliko madogo kwenye kikosi

Hakuna mabadiliko makubwa kwenye kikosi hiki kutoka kwenye kikosi kilichopita, jambo ambalo linaonyesha kuwa timu ya makocha ina imani kubwa na wachezaji waliopo.

Timu hii inatarajiwa kupambana vilivyo kuhakikisha Taifa Stars inapata angalau pointi 4 katika michezo hii miwili, ili kujiweka katika mazingira mazuri ya kuwania tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Dunia 2026 kwa mara ya kwanza katika historia ya soka la Tanzania.

Kikosi cha Taifa Stars Kilichoitwa Leo 2025

Wachezaji Walioitwa:

  • Yakoub Suleiman (Simba SC)
  • Hussein Masalanga (Singida BS)
  • Zuberi Foba (Azam FC)
  • Israel Mwenda (Young Africans)
  • Lusajo Mwaikenda (Azam FC)
  • Bakari Mwamnyeto (Young Africans)
  • Elias Lawi (Azam FC)
  • Wilson Nangu (Simba SC)
  • Novatus Dismas (Göztepe FC, Uturuki)
  • Pascal Msindo (Azam FC)
  • Ibrahim Abdulla (Young Africans)
  • Haji Mnoga (Salford City, Uingereza)
  • Dickson Job (Young Africans)
  • Miano Danilo (FK Panevezys, Lithuania)
  • Offen Chikola (Young Africans)
  • Aziz Andambwile (Young Africans)
  • Yahya Zayd (Azam FC)
  • Yusuph Kagoma (Simba SC)
  • Habibu Idd (Singida BS)
  • Tarryn Allarakhia (Rochdale AFC, Uingereza)
  • Charles M’Mombwa (Floriana FC, Malta)
  • Suleiman Mwalimu (Simba SC)
  • Feisal Salum (Azam FC)
  • Morice Abraham (Simba SC)
  • Abdul Suleiman (Azam FC)
  • Edwin Balua (En Paralimnio, Cyprus)

Kocha Mkuu: Hemed Suleiman

Kikosi cha Taifa Stars Kilichoitwa Leo 2025
Kikosi cha Taifa Stars Kilichoitwa Leo 2025

Ratiba ya Michezo ya Taifa Stars – September 2025

📅 02 Sept 2025 Congo Brazzaville VS 🇹🇿 Tanzania
📅 09 Sept 2025Tanzania vs Niger

Mashabiki wa soka nchini watakuwa na matumaini ya kuiona Stars ikicheza kwa nidhamu na kujitahidi kupata matokeo mazuri katika mechi hizo muhimu. Ushindi dhidi ya Congo nyumbani na sare angalau dhidi ya Morocco ugenini utaongeza matumaini ya Taifa Stars kufuzu kwa Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza.

CHECK ALSO: