Kundi la Tanzania Kufuzu Kombe la Dunia 2026 | Tanzania Yapangwa Kundi E Kwenye Kufuzu Kombe la Dunia 2026
Tanzania yapangwa Kundi E kuwania kufuzu kwa Kombe la Dunia 2026 Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetangaza makundi ya kufuzu kwa Kombe la Dunia 2026, ambalo litafanyika nchini Canada, Mexico, na Marekani. Tanzania (Taifa Stars) imepangwa Kundi E, pamoja na Morocco, Congo, Niger, Eritrea na Zambia.
Kundi la Tanzania Kufuzu Kombe la Dunia 2026
Kulingana na kanuni za CAF, mshindi wa kila kundi atafuzu moja kwa moja kwa Kombe la Dunia la 2026. Maana yake ni lazima Taifa Stars imalize ya kwanza Kundi E ili kufuzu moja kwa moja.

Licha ya changamoto kubwa inayoikabili timu ya Morocco ambayo tayari imeonyesha ubora wake kwa kufuzu mapema, bado Taifa Stars ina nafasi ya kushindana na kupata nafasi ya kushiriki michuano mikubwa ya dunia. Wachezaji wa soka wa Tanzania wanatarajia timu yao itapambana kwa nguvu zote ili kutimiza ndoto yake ya kufuzu kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hiyo.
Msimamo wa Kundi E
Rank | Club | ||||||||
1 | Morocco | 5 | 5 | 0 | 0 | 14 | 2 | 12 | 15 |
2 | Niger | 4 | 2 | 0 | 2 | 6 | 4 | 2 | 6 |
3 | Tanzania | 4 | 2 | 0 | 2 | 2 | 4 | -2 | 6 |
4 | Zambia | 4 | 1 | 0 | 3 | 6 | 7 | -1 | 3 |
5 | Congo | 3 | 0 | 0 | 3 | 2 | 13 | -11 | 0 |
6 | Eritrea | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
CHECK ALSO:
Weka maoni yako