Mishahara ya Wachezaji wa Azam FC 2025

Mishahara ya Wachezaji wa Azam FC 2025 | Azam FC ni moja ya klabu maarufu nchini Tanzania na inashiriki Ligi Kuu ya Tanzania. Klabu hii imewekeza fedha nyingi kwa wachezaji wake, kuhakikisha wanapokea mishahara mizuri inayolingana na juhudi zao uwanjani.

Mishahara ya wachezaji wa Azam FC inadhihirisha uwekezaji mkubwa wa klabu hiyo katika kuhakikisha wachezaji wanapata marupurupu wanayostahili/Mishahara ya Wachezaji wa Azam FC 2025.

Hii inachangia utendaji bora wa timu na kuvutia wachezaji wenye vipaji. Azam FC imesalia kuwa miongoni mwa klabu zinazoongoza Ligi Kuu Tanzania kwa kuangalia maslahi ya wachezaji wake.

Mishahara ya Wachezaji wa Azam FC 2025
Mishahara ya Wachezaji wa Azam FC 2025

Mishahara ya Wachezaji wa Azam FC 2025

# Player Nat. Salary value
16 Mohamed Mustafa Goalkeeper Sudan 11M
28 Zuberi Foba Goalkeeper Tanzania
24 Yeison Fuentes Centre-Back Colombia 8M
5 Lusajo Mwaikenda Centre-Back Tanzania 5M
Franck Zouzou Centre-Back Cote d’Ivoire 12M
Yoro Diaby Centre-Back Mali 13M
25 Abdalla Kheri Centre-Back Zanzibar 3M
27 Ahoutou Angenor Zouzou Centre-Back Cote d’Ivoire 15M
12 Pascal Msindo Left-Back Tanzania 4M
20 Nathaniel Chilambo Right-Back Tanzania 3.5M
Ever Meza Defensive Midfield Colombia 10M
14 Mamadou Samake Defensive Midfield Mali 10.7M
26 Adolf Bitegeko Defensive Midfield Tanzania 4M
6 Feisal Salum Central Midfield Zanzibar 27M
2 James Akaminko Central Midfield Ghana 19M
17 Sospeter Bajana Central Midfield Tanzania 7M
21 Yahya Zayd Attacking Midfield Tanzania 10M
22 Tepsi Evance Attacking Midfield Tanzania
9 Abdul Hamisi Suleiman Left Winger Tanzania 3M
19 Gibril Sillah Left Winger The Gambia 16M
Cheickna Diakité Left Winger Mali 10.5M
23 Iddy Seleman Nado Left Winger Tanzania 6M
18 Franck Tiesse Right Winger Cote d’Ivoire 10.2M
Jhonier Blanco Centre-Forward Colombia 17M
29 Nassor Saadun Centre-Forward Tanzania 3M
Adam Omar Adam Centre-Forward Tanzania 3.5M
11 Alassane Diao Centre-Forward Senegal 20M

CHECK ALSO: