Msimamo Kundi la Yanga Ligi ya Mabingwa Afrika CAF 2025/26

Msimamo Kundi la Yanga Ligi ya Mabingwa Afrika CAF 2025/26, Ratiba ya Yanga Ligi ya Mabingwa Afrika CAF 2025/2026, RATIBA ya CAF Ligi ya Mabingwa Afrika 2025/2026: SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetangaza rasmi droo ya raundi ya kwanza na ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika 2025/26.

Raundi ya Awali itaanza kwa mechi za mkondo wa kwanza kati ya 19-21 Septemba 2025 na mechi za mkondo wa pili kati ya 26-28 Septemba 2025. Raundi ya Awali ya Pili itafuatia Oktoba 17-19 (mguu wa kwanza) na 24-26 Oktoba (mguu wa pili).

Hatua ya Kundi itaanza tarehe 21 Novemba 2025, na awamu ya mtoano ikipangwa kuanza tarehe 13 Machi 2026.

Msimamo Kundi la Yanga Ligi ya Mabingwa Afrika CAF 2025/26
Msimamo Kundi la Yanga Ligi ya Mabingwa Afrika CAF 2025/26

Msimamo Kundi la Yanga Ligi ya Mabingwa Afrika CAF 2025/26

MD1: 21-23 November

MD2: 28-30 November

MD3: 23-25 January

MD4: 30 Janunary-01 February

MD5: 06-08 February

MD6: 13-15 February

Kundi B:

  1. Al Ahly (Misri),
  2. Yanga SC (Tanzania),
  3. AS FAR (Morocco),
  4. JS Kabylie (Algeria)

CHECK ALSO:

  1. Msimamo Kundi la Simba Klabu Bingwa Afrika 2025/2026
  2. Ratiba ya AFCON 2025
  3. Top Assist NBC Premier League 2025/2026
  4. Haya Hapa Makundi ya Kombe La Shirikisho CAF 2025/26