Usajili Simba Leo, Wachezaji Wanaotakiwa Msimbazi | Dirisha Kubwa la Usajili Ligi Kuu Bara 2025/2026: Simba Waanza Harakati za Usajili.
Kipindi cha usajili wa dirisha kubwa Ligi Kuu Tanzania Bara kinakaribia kufunguliwa, tayari vigogo wa soka nchini, Simba SC na Yanga SC, wameanza kuweka mikakati ya kuimarisha vikosi vyao kuelekea msimu ujao wa mashindano ya kimataifa.
Kwa mujibu wa chanzo makini, kuna vuguvugu la ndani kati ya klabu hizo mbili kubwa nchini, zikihusisha kusaka wachezaji kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), taifa lenye vipaji vingi vya soka.
Kwa sasa Ligi Kuu Bara inathibitisha kuwa Simba na Yanga zitaiwakilisha Tanzania Bara katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2025/2026, huku Singida Black Stars na Azam FC zikitarajiwa kushiriki Kombe la Shirikisho Afrika.

Usajili Simba Leo, Wachezaji Wanaotakiwa Msimbazi
Waliosajiliwa Mpaka sasa Simba
- Morice Abraham – Kutoka FK Spartak Subotica
- Rushine De Reuck (29) – Mamelodi Sundowns
- Charles Daud Semfuko 🇹🇿 – Coastal Union
- Anthony Mligo – Coastal Union
- Alassane Kanté – Kutoka CA Bizertin
- Mohamed Bajaber – kutoka Police Kenya FC
- Jonathan Sowah – Kutoka Singida Black Stars
- Naby Camara – Kutoka AS Kaloum
- Yakoub Suleiman – Kutoka JKT Tanzania
- Wilson Nangu – Kutoka JKT Tanzania
Kuhakikisha mafanikio katika mashindano ya kimataifa kunahitaji uwekezaji wa mapema katika usajili wa nguvu, unaozingatia ubora wa wachezaji, uzoefu wao, na uwezo wa kushindana kwa kiwango cha juu. Kwa hiyo, Simba na Yanga zinasaka vipaji kutoka DRC, taifa ambalo limekuwa na ushawishi mkubwa barani Afrika kwa kuzalisha wachezaji wa kiwango cha juu.
CHECK ALSO:
- Yanga vs Simba Juni 15, Kariakoo Derby ya 37 za Mwisho, Simba Yaongoza kwa Ushindi
- Bei Mpya za Mafuta Tanzania Juni 2025, Dar es Salaam Yapunguwa
- Ronaldo Kaifungia Ureno Goli Muhimu Katika Nusu Fainali ya UEFA Nations League
- Manchester City Kumsajili Rayan Cherki wa Lyon na Tijani Reijnenders wa AC Milan








Simba isajili wachezaji chipukizi vijana
Yanga itapigwa tano msimu ujao atawaweka mabululu
simba mwaka huu itakuwa kama madrid kimataifa
Simba mwaka huu itakuwa bora sana kulingana na usajil unao fanyika
Leave Your Comment Ubaya ubwela feisal tunawasubiri simba blood
SIMBA SC JAMAN LETENI VYUMA
Simba wafanye usajili wa kufuru ili majirani waitike abee badala ya naam
Simba wafanye usajili wa namba nane mwenye sifa kama ya rally bwalya
Wajitahidi bac simba kuxajili
Simba washamalizana na fei teali au tetesi
Vp kuhusu fei toto kuja simba?
jamani marafiki wa musimbazi simba usajili wa mwisho ni nani? mi nipo morogoro tz
mohamend bajaber ni mnyama
Kwa kikosi hiki yote tunabeba
Simba haipingwi, vipi dili la feitoto kuja simba lipoje
Simba ya mwaka huu ni mwendo wa mkamatekamate uwanjani
Wamejitahidi kusajili kilicho baki ni vitendo tu